Mteja: Aisee vipi salama?
Mimi: nipo salama, lete habari
Mteja: Sasa bwana Wakili kumbe yule mteja uliyeniletea anaongea Kingereza?
Mimi: Ndiyo, ni Mzimbabwe, kwani tatizo nini?
Mteja: Aaaah, ungenambia mapema Kaka nijiandae, tumeshindwa kuelewana bwana, na Biashara yenyewe na yeye sitaki tena...