Recent content by Makena

  1. M

    JamiiForums Tanzania Zitto waweza rudi sasa mambo ni shwari

    Atakuwa mkimbizi ndani ya nchi yake? Acheni utani pigeni kazi kuunga mkono jitihada za Mh Rais JPM.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanaume nao huandaliwa kabla ya tendo?

    Ikikaza uchafu ndani si huwa unaenda kutupa jalalani ni manii nazo zikijaa huwa zina dustbin zake
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tutaje majina ya wasanii wanaobwia Ngada na Bangi

    Piriton nazo ni nomaa zaidi ya bangi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wakatisha tiketi mwendokasi ni jipu

    Kadi zipo unaropoka kuhusu tiketi huo ni ujinga wako kama hutaki kuibiwa kanunue kadi ili ubaki na hizo hamsa hamsa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Waalimu wahamia kuendesha bodaboda na kupiga picha mitaani

    Hapa kazi tu ili mradi uko kisheria
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dawa ya mende ni nini?

    Cha msimgi ni kutathimini kama kuna mashimo ya choo waga mafuta ya taa ukianxia kwenye bomba za choo/tumia oil chafu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbona ni kama bwana Trump anatawala kabla ya kuapishwa?

    Ya madawa yamrkushinda umehamia nchi zilizoendelea.
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moyo wangu si wachuma, nimsamehe Mara ngapi!

    Matatizo si tatizo ila ni hatua ya kuusogelea utukufu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwa msaada zaid Soma hapa

    Magroup yanapoteza muda wa kufanya kazi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa msaada zaid Soma hapa

    Weka yako tukutafute kwanza
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

    Maelezo yanayoanza na mimi kama mimi yananikera sana
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tv bei poaa

    Bland name plse
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kisheria Lema anaweza kutorokea nchi nyingine

    Kimsingi sijaelewa ni maneno gani ya uchochezi aliyoyatamka Mh amayesota jela naomba mmoja aelezèe kwa ufupi sana.
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli hizi 'janga la njaa' na 'uhaba wa chakula'?

    Ref topic
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli hizi 'janga la njaa' na 'uhaba wa chakula'?

    Wilaya yangu haina janga la njaa bali inauhaba wa chakula. Nini tofauti ya kauli hizi mbili?
Back
Top Bottom