Ref topicNataka watu waishi kama mashetani.
Janga la njaa = ni pale chakula kinapokosekana na kufikia hatua ya watu kufa kwa kukosa chakula.Wilaya yangu haina janga la njaa bali inauhaba wa chakula. Nini tofauti ya kauli hizi mbili?
Umeweza na pia uhaba wa chakula hupelekea janga la njaaJanga la njaa = ni pale chakula kinapokosekana na kufikia hatua ya watu kufa kwa kukosa chakula.
Uhaba wa chakula = upungufu wa chakula kulingana na mahitaji halisi.
Nimejaribu!