Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

Msemo uliokukera zaidi mwaka huu

Mie sio wa type yako" Aisee niliukuta humu J.f atayenitamkia hili neno siku,Ataleta mrejesho hapahapa!
 
Nimejitoa kafara kupambana na mafisadi, halafu anajicontradict sifukui makaburi ya zamani. Nimejitoa mhanga kuwasaidia wanyonge, halafu anavunja nyumba kibao katkika bomoa bomoa bila kuwafidia hata senti na kutoa kauli kwamba anataka Watanzania waishi kama mashetani huh!
 
Back
Top Bottom