Recent content by Majembe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maajabu haya Wasabato Wenye Imani Kali

    yani hawa wafanyiwe utaaratibu haraka kama waliweza kuishi porini wakimsubiri Mungu basi watafanya mambo ya ajabu sana hapo air port, waondolewe kwani ni dhahiri hazijatimia vichwani mwao mapepo yamewazidi kupita kiasi hawa ndio wanasababisha air port kunakua na harufu mbaya, lazima...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Wanatumaliza Na Nauli Holela

    mfano Ijumaa iliopita na jumamosi ndio hasa bei ilikua ya ajabu kisa abiria wengi kwakua wanaenda 77 kiukweli hakuna chombo cha kusimamia hizi bei za usafiri wa aina hii kila boat ina bei yake zenye bei ya chini abiria wanajazwa mpaka wanasimama bado na AC hazifanyi kazi si kuuana huku...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Wanatumaliza Na Nauli Holela

    nimewafanisha wewe, Lowasa, Chenge na Rostam kwakua wote ni ndugu wa familia moja inayokua kwa kasi ya FISADI family na si kwarandi wala kabira. kama hukukurupuka kusoma ungeona nimesema bei imepanda kila mtu anajua lakini kuileta humu ni ili kila mtu ajue na kuchangia kwa anachokijua juu ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Wanatumaliza Na Nauli Holela

    wewe hili jina halikufai wewe si fairplay kama unavyojiita nakuomba ubadiri jina, tunapolalamokia mafisadi na huu pia ni ufisadi na simaanishi kua mimi nashindwa kulipa hiyo nauli tuelewe kua Tanzania inaidadi kubwa ya walala hoi iyo usipinge na kama wewe nimmoja wa mafisadi wasiojali wenzao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Azam Marine Wanatumaliza Na Nauli Holela

    Habari ya wiki endi ndefu wa ndugu wa familia ya Jamii forum, nina imani wote mpo salama. Napenda kuwakilisha hii habari ili mlifahamu ili na kulichambua kwa umoja wetu. Usafili wa Boat ni muhimu hasa kwa wenzetu wa Unguja, pemba na sehemu nyingine zote zinazofikikika kirahisi na usafiri wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kweli ni shwari au ni kauli za kisiasa tu ?

    naipenda sana CHADEMA lakini sasa naona wameanza kuharibu kiukweli kama swala ni marafiki na maongezi mbona mbowe washkaji au niite marafiki zake wengi ni wana CCM tena wale ambao huwezi kuwanunua hata kwa kiasi gani cha pesa hili halionekani na wanajuaje kama yupo pale kwakukimaliza chama na si...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tunausbiri hili ndio la maana dini mambo gani, watu wako busy na UFISADI saangapi ataswali au kwenda kanisani
  8. M

    JamiiForums Tanzania Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

    MJJ aliposema kuhusu dini nilistuka kwanza lakini baada ya kusoma hayo majina sioni cha ajabu kabisa, kwanza upande wa bara waislamu ni walewale wa siku zote, na huko ZNZ alitaka nani awe kama sio hao ni kweli kabisa ZNZ more than 98% ni waislam ni ngumu kupata wahusika sawa katika dini2...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rita Mlaki hatarini kusimamishwa udiwani Dar

    huyu mama anadharau sana, kawe hawamtaki wameshamshtukia na porojo zake zisizo nafaida kwao, aachane na ubunge arudi kwenye maplastick aliosomea.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ajali ya School Bus

    OMG jamani pole kwa wazazi wa watoto hao na familia ya dereva pia, jamani inauma kupoteza watoto. Mungu tusaidie na majanga ya ajali
  11. M

    JamiiForums Tanzania MIKE TYSON's kids dont look too bad

    very true that was his job we dont have to hate him for that, the family is waaaaaaw!!!!! guys you can merry them with no problem as long as you will love and sherrish them
  12. M

    JamiiForums Tanzania Obituary: Zambia's Levy Mwanawasa

    Mungu amlaze mahali pema Levy. Mwanawasa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba Ya Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe Kuhusu Miundombinu Bungeni

    kwakweli naomba wote muitikie hiki nisemacho tena kwa sauti kubwa UPINZANI OYEEEEEEEEEE!!!!!! HII HOTUBA IMEKAMILIKA NA VILIVYOONGEWA VYOTE NI VYA MUHIMU KWA NCHI NA MSLAHI YA WATZ KWA UJUMLA KWANINI WATU HATUONI JAMANI? HIVI NDIO VICHWA VINAVYOTAKIWA KUTUONGOZA. NDIO MAANA IKIFIKA ZAMU YA...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dr.Slaa ajiandikisha rasmi kuwa member JF.

    karibu sana mpiganaji wetu, huku tunao wengi tu wanatuchora lakini poa tu mradi ujumbe uwafikie na wajue nini hatutaki na nini tunataka ili nchi isimame.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Et tu Brute? Wajueni Ma-Yuda Iskariote wenu!

    kwakweli huyu fisadi mtoto anatania au anaota kidogo simulewi hebu arudie tena anachosema huenda nikamuelewa
Back
Top Bottom