S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
RITA MLAKI - Kwa kutojua wajibu wake kama "Mbunge".
28. Dr. Juma Ngasongwa
Huyu naye fisadi kuanzia kipindi cha mzee Ruksa.
1. Anna Abdallah-nisaidie kuniambia kosa lake ni nini ?kumpaka mama kilango kujifanya ana uchungu sana wakati ajenda ni ya wabunge wote.subjectivity.
2. Abdalla Kigoda
3. Peter Msola
4. Peter Serukamba-Nadhani kilichokuudhi ni msimamo wake kwa kile anachokiamini.ni haki yake kuwa na mawazo totauti na wengine kama wewe.
5. Andrew Chenge-uchunguzi unafanyika,haraka yako ya kutoa hukumu ni ya nini?huo ndio udikteta
6. Mustafa Mkullo-Chuki ni za wazi kwa kuwa amesema ukweli kuwa pesa ni za wafanyabiashara na si za serikali.hupendi kujua ukweli wa mambo,ni ujinga
7. Hawa Ghasia-Nini kibaya alichofanya ktk kadhia hii ya ufisadi?
8. Bernard Membe-Nini alichofanya katika kadhia hii ya ufisadi?
9. Maua Daftari-hizi ni chuki binafsi.
10. Mohamed Seif Khatib-jamaa yuko bize na kuandika mashahiri na kufanya kazi zake.kawasaliti kitu gani?
11. Nizar Karamagi-Hana imani na tume ya Mwakyembe.namuunga mkono.ilipendelea wazi.ipitiwe na jopo la majaji
12. Ibrahimu Msabaha-Katendewa haki kabisa.
13. Charles Keenja-Hizi ni chuki za kuangushwa ubunge kwa kijana wenu wa ubungo.hakuna jipya hapa
14. Emmanuel Nchimbi-Sijaelewa amewasaliti kitu gani katika kadhia hii ya ufisadi au ni chuki binafsi.nifafanulie
15. Edward Lowassa-Hakutendewa haki na hilo kamwe haliwezi futika.
16. Mary Nagu-Majungu yenutu hapa.
17. Milton Mahanga-Kawafanya nini ndugu huyu kibaya?
18. Rostam Aziz-Kagoda siyo yake,richmond pia siyo yake,dowans siyo yake.mmembandika then mnampa hukumu hasiyostahili.hajatendewa haki pia.
kama huna hoja ya kujibu ni bora unyamaze hakuna alikuita kujibuNadhani umekosea njia hebu ulizia pale mbele... maana huko mbele barabara imefungwa kuna ujenzi.....
kama huna hoja ya kujibu ni bora unyamaze hakuna alikuita kujibu
john malecela anayengata na kupuliza haeleweki msimamo wake uko pande gani
samweli sitta anayekumbatia mafisadi ndani ya chama chake na mfujaji wa pesa za bunge kwa matumizi yake binafsi na nyumba yake ndogo (pharmacy tu ametumia millions....
kama huna hoja ya kujibu ni bora unyamaze hakuna alikuita kujibu
Acha ukali kada
Nadhani umekosea njia hebu ulizia pale mbele... maana huko mbele barabara imefungwa kuna ujenzi.....
1. Anna Abdallah-nisaidie kuniambia kosa lake ni nini ?kumpaka mama kilango kujifanya ana uchungu sana wakati ajenda ni ya wabunge wote.subjectivity.
2. Abdalla Kigoda
3. Peter Msola
4. Peter Serukamba-Nadhani kilichokuudhi ni msimamo wake kwa kile anachokiamini.ni haki yake kuwa na mawazo totauti na wengine kama wewe.
5. Andrew Chenge-uchunguzi unafanyika,haraka yako ya kutoa hukumu ni ya nini?huo ndio udikteta
6. Mustafa Mkullo-Chuki ni za wazi kwa kuwa amesema ukweli kuwa pesa ni za wafanyabiashara na si za serikali.hupendi kujua ukweli wa mambo,ni ujinga
7. Hawa Ghasia-Nini kibaya alichofanya ktk kadhia hii ya ufisadi?
8. Bernard Membe-Nini alichofanya katika kadhia hii ya ufisadi?
9. Maua Daftari-hizi ni chuki binafsi.
10. Mohamed Seif Khatib-jamaa yuko bize na kuandika mashahiri na kufanya kazi zake.kawasaliti kitu gani?
11. Nizar Karamagi-Hana imani na tume ya Mwakyembe.namuunga mkono.ilipendelea wazi.ipitiwe na jopo la majaji
12. Ibrahimu Msabaha-Katendewa haki kabisa.
13. Charles Keenja-Hizi ni chuki za kuangushwa ubunge kwa kijana wenu wa ubungo.hakuna jipya hapa
14. Emmanuel Nchimbi-Sijaelewa amewasaliti kitu gani katika kadhia hii ya ufisadi au ni chuki binafsi.nifafanulie
15. Edward Lowassa-Hakutendewa haki na hilo kamwe haliwezi futika.
16. Mary Nagu-Majungu yenutu hapa.
17. Milton Mahanga-Kawafanya nini ndugu huyu kibaya?
18. Rostam Aziz-Kagoda siyo yake,richmond pia siyo yake,dowans siyo yake.mmembandika then mnampa hukumu hasiyostahili.hajatendewa haki pia.