Ni uchizi tu huu,kwana ana kashfa ya mke wa Mbasha,anatafuta umaarufu tu,hivi mbona Yesu hakufanya mambo ya kipuuzi kama haya au ndio wapinga kristu hawa,ni ujinga tu huu,anashindwa kuwakemea mafisadi anamkemea Pengo au kstumwa huyu!
Huyo umemtumia muda wote huo unategemea aolewe na nani,wewe ni mchafuzi na nakuombea na wewe uoe changudoa,mnaleta vitamaa vyenu vya mapenzi vikiisha mnajifanya upendo umekwisha,hivi baba yako angemfanyia hivyo mama yako wewe leo hii ungekuwepo? Umefanya kosa kubwa sana be responceble
Uongozi mbovu ni sehemu ya kero za wananchi mfano mdogo ni ajira za kujuana,kama serikali ingekuwa ina uongozi bora tusingekuwa na hii kero kubwa ya ajira za kindugu, kabla ujaongea wasikilize kwanza waliokuzidi akili na elimu
Yani kama umefatilia mijada inayoendelea inayojadiliwa pia na ma Professor tena wanaoijui hii nchi kuliko hata raisi na wewe ukiwemo bado unakuwa na fikra zinazo scrach kama CD mbovu unabisha kuhuusu serikali3 dah! Mkuu inabidi ufanyiwe uchunguz wa Akilii
Ni uzembe wako hayo wenzako wajanja huwa wanayaangalia tangu kipindi cha uchumba,jamaa yupo sahihi kwa maana hukujua kuishinae tangu mwanzo wa mahusiano. Ingawa mimi binafsi ingawa sijaoa lakini nauhakika nitakuwa namsaidia mke wangu kwa hali zote hata nikiitwa bushoke poa tu mradi yeye...
Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi
Mbona huulizi kama ni haki kuweka matangazo ya condom,pombe na matangazo ya burudani ovyo ovyo? Unaona kuhubiri Neno la Mungu ovyo ovyo ndio kero kwako, mbona hukereki na mabinti kuvaa ovyo ovyo kila kona ya mji. Suit yourself na muogope Mungu tena ushukuru kuona Neno la Mungu kuhubiriwa ovyo...
Atakumbukwa kwa umbile la ------ yake na hicho ndicho anachopendewa na vijana wengi wa kibongo trust me otherwise nothing special watazunguka SANA ila huo ndio ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.