Recent content by Mafanikio 07

  1. M

    Nimeota napambana na paka mwitu Jeusi la kutisha kwa kupigana nalo kwa muda mrefu. Naomba tafsiri ya hii Ndoto

    ndugu yangu ndoto yako ina maana hiii hyo paka ulomuota ni adui wa kiroho linaweza kuwa kundi la wachawi au majini maana paka htumiwa sana na wachawi. pili basi ni kipando hvyo huenda itakuwa hicho kikundi cha wachawi kilktaka kukuingiza kwwnye mfumo wao ila mungu amekulinda nao ila zaidi...
  2. M

    Dini vs Ushirikina: Kwanini ningechagua ushirikina

    alafu huwa najiulizaga sana je ni kweli mungu nafsi yake ya binadamu???wkt najua mie kua mungu ni mkuu na mtoa muongozo kabla na hata ya kuwepo binadamu. sasa inakuwaje asitupe dini kabla ya kuumbwa kwa adamu au alete dini baada ya adamu matokeo yake hutela dini baadae kabisa mpk inatokea...
  3. M

    Dini vs Ushirikina: Kwanini ningechagua ushirikina

    Mie bhana kinachonishangaza kwenye dini kuwa unaambiwa usiende kwa waganga wkt dini yenyewe ni imani kama ilivyo kumuamini mganga na kwa bahati nzuri unakuta mganga pia anakwambia mtegemee mungu utafanikiwa hicho kitu au una kuta mtu unateseka na gonjwa la kupewa mda mrefu alf mwisho wa siku wew...
  4. M

    Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

    mie naomba kuuliza unaweza kuondoa mtu majini aliokuwa nayo ambayo ni ya uganga???maana nimemaliza chuo nasota na hangaika kwa kila hali ila holaaaa mpm sasa. naambiwa niganguo muarabu yupo kichwani.
  5. M

    Ni thread gani yenye viewers na likes nyingi?

    Habari Kama naomba tubadili kuhusu Mada apo juu na pia tuingalie kwanini imepata hadhi hiyo. Shukrani
  6. M

    Uganga wa Tiba ni haramu?

    Wanajamvi kongole ziende kwenu kwa kufanikisha JamiiForums iendelee kuwepo bila nyie basi maarifa mtaani hayatapatikana. Naomba niende mazima kwenye mada yangu ujue siku zote Waafrika kuacha mila zao ni ngumu mno sasa kwa muda huu tuna kitu linaitwa dini ambacho kinatufanya tuishi kupitia...
  7. M

    Inawezekana aliyekulia Bara kupata kitambulisho cha Mzanzibari?

    Habari! Naomba kupata msaada wa kisheria kuwa inawezekana mtu aliekulia Tanzania bara na akawa na vyeti vya kuzaliwa Pamoja na ambavyo vinaonesha ni wa Tanzania bara(Kitambulisho Cha utaifa) kuwa anaweza kupata kitambulisho cha mzanzibari? Bila kusahau cheti cha kuzaliwa cha Zanzibar...
  8. M

    Zanzibar ina wakazi laki 8, wabunge 75 wa nini?

    Inabidi Znz mwaka huu wafanye Lao. ....siamini huu muungano una Amani ndani yake Kuna fukuto kubwa time will tell.
  9. M

    Ifahamu Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

    lakini nachokiona kwa Hamphley sio ueneza itikadi balini kusifia kiongozi wake.
  10. M

    GE2020 Bernard Membe hana kabisa mvuto!

    Bernard Morrison au Member?
Back
Top Bottom