Ifahamu Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,199
4,672
MAJUKUMU

• Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.

• Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.

• Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.

• Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.

• Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.

• Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama.




polepole.jpg
 
Samahani mkuu.....
Yaani kwa cheo, mamlaka, shangingi V8, walinzi, mshahara, mafungu pamoja na posho anazo zipata ndio anamuonekanohuo.. sasa alikuaje hapo kabla, enzi akiwa mwana harakati na hakua na kotu..!!??
 
Back
Top Bottom