Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,199
- 4,672
MAJUKUMU
• Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
• Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
• Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
• Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
• Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
• Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama.
• Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
• Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
• Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
• Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
• Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
• Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama.