Hilo moja kwa moja ni jaribio la kiroho juu ya uhai wako. Sio kwamba yamekwisha ila tu umeponea chupu chupu mpango wa kukuangamiza. Kama wewe bado ni mchanga kiroho basi mtafute mtumishi wa kweli wa Mungu aliye hai akuombee. Lakini pia fanya sala na maombi ukimaanisha. Kamwe usilale bila sala.Naomba na Mimi nipewe tafsiri ya hii ndoto
Nimeota Watu wanazika kaburini na siwajui hata. Na hio Siku sikuwa nimetaka kulala ila nikapitiwa tuu na usingizi nadhani ilikua like 15min nikashtuka toka usingizini na baada ya hapo majira ya saa 11 kasoro alfajiri nikiwa macho. Kuna kitu kikubwa(Approx 3-4 kg of weight ) kimeanguk juu ya bati hap napolala. Kutoka nje sioni kitu.
Baada ya hapo Siku kadhaambele Nilinusurika sana sana kusombwa na boda boda. It was so close wajameni