Mie bhana kinachonishangaza kwenye dini kuwa unaambiwa usiende kwa waganga wkt dini yenyewe ni imani kama ilivyo kumuamini mganga na kwa bahati nzuri unakuta mganga pia anakwambia mtegemee mungu utafanikiwa hicho kitu au una kuta mtu unateseka na gonjwa la kupewa mda mrefu alf mwisho wa siku wew utumie njia ya kifizikia kulitibu hlo gonjwa wkt daktari anakwambia haoni tatzo.
Ukweli ambao hata Mshana ataukubali ni kwamba mambo yako hivi:
1.Viumbe wote wameumbwa kutoka kwenye SUPREME POWER AMBAYE NDIYE wengi wetu TUNAMUITA MUNGU.
2.MWANADAMU anayeishi sehemu yake muhimu na kubwa Zaidi INAITWA ROHO.
3.ROHO ZOTE hizo ni derivative ya ROHO MOJA KUU-Roho wa Mungu.
4.ROHO ZOTE zina GODLY INTELLIGENCE.
Zina ELIMU yote ya mambo yaliyoko na yaliyopita.
5.Ndani ya ubinadamu kuna uwezo wa kutafsiri mambo kutoka JUMBE ZA KIROHO.
Tafsiri nyingi zinapelekwa kwenye desk top ambayo ni UBONGO.
Ubongo hauna uwezo wa kutafsiri taarifa za Roho hata kwa nafasi ya moja ya million.
6.kutokana na uwezo mdogo wa akili(Brain),ndiposa kunatokea mchanganyiko wa habari.
Witchery is one of the poorest interpretations.
Deepest meditation through which the soul gets communicated so well,we call it PRECISE PRAYERS.
DINI nyingine especially CHRISTIAN WANA ROHO MTAKATIFU.
Actually Huyu yuko kwa kila mtu.
Tatizo ni KUJITAMBUA.
na
KUMTAMBUA na
KUWASILIANA NAYE.
Organized religions zimeharibu ukweli huu kwa kuwa wamamgeuza MUNGU kuwa BABA MKALI.
BABA MWENYE HASIRA.
BABA MWENYE GHADHABU...
Wameumba sura ya Mungu asiyekwepo.
Mungu wa kuchonga.
Kwa ab
Mungu ni UPENDO NA UPENDO NI MUNGU.
Kila kilicho kinyume na hilo ni uwongo......
Etc
Etc
Etc