Dini vs Ushirikina: Kwanini ningechagua ushirikina

Sawa,ni sehemu ya unyama unaofanywa na wachawi. Je unaweza kujua usiku wa leo wachawi wamewaua watoto na watu wazima wangapi? Kuna mimba elfu kadhaa zimeharibika kwa sababu ya uchawi,kuna watoto,watu wazima na wazee kibao wameuliwa na wachawi kupitia magonjwa ya kutengenezwa.

Kuna ajali za barabarani,majini na angani. Kote huko mamia kwa maelfu ya watu wamechukuliwa kichawi kwa ajali za kutengeneza. Tatizo ya wachawi mambo yao ni ya gizani sana ndio maana tunaona km wana unafuu.
Bado hesabu yake kwa kificho ama kwa uwazi haiwezi kufikia wahanga wa dini hata kwa theluthi moja
 
alafu huwa najiulizaga sana je ni kweli mungu nafsi yake ya binadamu???wkt najua mie kua mungu ni mkuu na mtoa muongozo kabla na hata ya kuwepo binadamu.

sasa inakuwaje asitupe dini kabla ya kuumbwa kwa adamu au alete dini baada ya adamu matokeo yake hutela dini baadae kabisa mpk inatokea mkanganyiko kwa wanadamu!!

Dini imeshushwa kwa waarabu tu,mungu hutuma wajumbe ktk jamii ili mufahamu kuwa yupo?dini ukweli ni tamaduni sasa kama ni tamaduni lazima uishi kulingana na tamaduni husika wazungu na waarabj wamekuta mababu zetu wajinga na kwa bahati mbaya hata mizimu ya afrika nayo ilikuwa mijinga inapenda starehe ndo matokeo yake imekuwa overtrown.
 
Ushirikina ni jina lililopewa imani zetu ili kuzitweza tu

Huwa inaniuma kwanini nachofikiri mimi kuna mtu hafikiri? Halafu unakuta ni msomi kabisa, inawezekana hivi elimu walileta ni ili kutupumbaza zaidi

Maana haiingii akilini jinsi jamii zinavyoelimika ndivyo ujinga unavyozidi
Swali la msingi ni ushirikina ni nini ? Shida yenu mnajiingiza katika mambo msiyo kuwa na ujuzi nayo,mpaka kufanya mambo kwa nia ya kujionyesha au watu wakuone nia ana ya ushirikina mzee,sasa unaposema kwamba imani zenu zimepewa jina ushrikina ili kutenzwa au kudogoshwa hii si sawa,hapa unatakiwa uainishe ni iman gani hizo na mimi nikuonyeshe uongo wa unachokiegemea.
 
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!
Mkuu ungekuwa umefunga ningesema swaumu imekukalia vibaya 🤣 🤣 ila sasa najua wewe ni kobe mwenzangu.
kwenye mkanganyiko wa dini ya kikristo/kiislam hilo halina ubishi. Kwa waislam kuna madhehebu na pia kwa wakristo yapo ya kutosha
Wanahistoria wanatuambia kuna miaka wakatolik walijaribu kuthibiti walichoita uasi , walitumia nguvu zote kuzuia watu wasitoke kwao.
Katika nguvu hizo kuna watu waliuawa, wengi tu.
Tunapaswa kujua binadamu ni kiumbe huru na naamini Mungu aliacha tuwe huru. Kumfuata au kutokumfuata. lakini akatuonyesha na kitakachotupata tusipomfuata
Tangia vitoto vya kwanza vya Adam na Hawa vilikinzana, hadi kuuana. Hapa zilitengenezwa tawala mbili. Moja inatii maagizo ya Mungu na Nyingine inaona haina haja ya kutii maagizo ya Mungu
Hata hivyo pamoja na mkanganyiko bado njia ya kumuendea Mungu ni dhahiri na ya hakika

Mathayo 7:13-27 BHN​

“Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi. Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. “Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! Basi, mti mzuri huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya. Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni. Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao. “Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile ya hukumu: ‘Bwana, Bwana! Kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi’. Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’ “Kwa hiyo, kila mtu anayeyasikia maneno yangu na kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba. “Lakini yeyote anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena anguko hilo lilikuwa kubwa.”

Kuhusu uchawi kusema kwamba ni afadhali kuliko dini, hapo hapana.
Watu wanaotoka sehemu zinazosifika kwa uchawi wanaelewa zaid madhara yake
 
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!

Kule milimani upareni wanakoomba mali kwenye mawe wewe ulienda kuomba siasa? Mwamba Miamba
 
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!
MKUU HUJAMPATA TU WAKUMGAWIYA MIKOBA?
 
Mkuu ungekuwa umefunga ningesema swaumu imekukalia vibaya ila sasa najua wewe ni kobe mwenzangu.
kwenye mkanganyiko wa dini ya kikristo/kiislam hilo halina ubishi. Kwa waislam kuna madhehebu na pia kwa wakristo yapo ya kutosha
Wanahistoria wanatuambia kuna miaka wakatolik walijaribu kuthibiti walichoita uasi , walitumia nguvu zote kuzuia watu wasitoke kwao.
Katika nguvu hizo kuna watu waliuawa, wengi tu.
Tunapaswa kujua binadamu ni kiumbe huru na naamini Mungu aliacha tuwe huru. Kumfuata au kutokumfuata. lakini akatuonyesha na kitakachotupata tusipomfuata
Tangia vitoto vya kwanza vya Adam na Hawa vilikinzana, hadi kuuana. Hapa zilitengenezwa tawala mbili. Moja inatii maagizo ya Mungu na Nyingine inaona haina haja ya kutii maagizo ya Mungu
Hata hivyo pamoja na mkanganyiko bado njia ya kumuendea Mungu ni dhahiri na ya hakika

Mathayo 7:13-27 BHN​

“Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi. Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. “Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! Basi, mti mzuri huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya. Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni. Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao. “Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile ya hukumu: ‘Bwana, Bwana! Kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi’. Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’ “Kwa hiyo, kila mtu anayeyasikia maneno yangu na kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba. “Lakini yeyote anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga. Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena anguko hilo lilikuwa kubwa.”

Kuhusu uchawi kusema kwamba ni afadhali kuliko dini, hapo hapana.
Watu wanaotoka sehemu zinazosifika kwa uchawi wanaelewa zaid madhara yake
Kuhusu uchawi kusema kwamba ni afadhali kuliko dini, hapo hapana.
Watu wanaotoka sehemu zinazosifika kwa uchawi wanaelewa zaid madhara yake
 
Maslahi yangu kiroho: mimi ni mshika dini kwa imani na dhehebu langu na nina hofu na Mungu

Dini ni njia buniwa ya mwanadamu ya kumtafuta Mungu iliyoshindwa vibaya kabisa; chochote afanyacho mwanadamu chini ya jua hakina ukamilifu wa kimungu kwakuwa mwanadamu mwenyewe si mkamilifu.

Ni katika kutengeneza huo mfumo uitwao dini binadamu anajikuta anajichanganya mwenyewe ama kutofautiana na mwenzake, ama kabila na kabila, imani na imani. Kufikia hapo ndio zikaanza kufumuka dini na imani za kila aina.

Wanaomtaja na kumwamini Mungu wakawa na dini zao nyingi tu lakini ndani yao wakipingana wenyewe kwa wenyewe. Walioona kwa Mungu hakuwatoshi nao wakaanzisha dini zao lakini nao hawakuishia pema, ni mitufuano tu. Kila dini sasa bila kujali ni ya kumtaja Mungu mmoja ama miungu wakawa na mitume na manabii wao. Na kila dini inawaheshimu na kuwatii sana sana.

Ni kupitia michakato hiyo ya kidini kujitangaza na kutaka kukubalika zaidi ndani ya jamii mbalimbali duniania. Dini imejikuta kwenye mtanziko mkubwa wa mambo mabaya kabisa duniani.

Ni kwa kupitia dini hizo mamilioni wamepoteza maisha yao kwa vita ya kidini ama kuuawa kwenye mabishano ya kidini.

Ni kupitia dini hizo watu kwa maelfu wamepotea na kupotezwa na wasionekane tena.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani wamepitia madhila na mateso makubwa sana.

Ni kupitia dini hizo mamilioni ya watu duniani, wameteswa, wamenyanyaswa na kudhalilishwa kwa kiwango kisichomithilika
Dini badala ya kuwa suluhisho imegeuka kuwa jinamizi litishalo ndani ya jamii mbalimbali

Ushirikina haujawahi kufanya mambo mabaya hivyo kama yaliyofanya kwa kutumia dini, lakini ushirikina unatumiwa vibaya na wanadini kama pitio na kimbilio la kutupia lawama na mabaya yote kuficha madhaifu yao kwenye dini.

Inachekesha mno kiongozi wa dini anaposimama kwenye madhabahu na kuanza kukemea ushirikina kumbe jana yake tu alikuwa huko ama naye ni agent na muumini mwaminifu wa ushikirikina.. Viongozi wa dini zote hizi zinazoamini katika Mungu mmoja ndio kundi linaloongoza kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji na ni waumini wakubwa wa ushirikina!

Kila nikipima haya mawili katika mizania ya haki bado USHIRIKINA una nafuu kubwa katika uhalisia wake kuliko hiki kitu kizuri kiitwacho dini!
Hapa tuko pamoja......dini naona maruweruwe tu
 
Ushirikina una madhara makubwa sana ,ushirikina unaangamiza,unasababisha watu kutokwa fahamu, ushirikina unaleta umasikini tofauti na dini bila dini hii amani usingeiona, bila dini kusingekuwa na hofu tungekosa miongozo ,kusingekuwa na mpangalio wa tendo la ndoa,tungeishi tu watu tusingeogopa kuuana ila dini ndio suluhisho japo kuna tatizo kwenye kuelewa maandiko ya dini kitu ambacho kinaleta shida pia
 
Ushirikina mpaka milele hauwezi ku-overcome dini pamoja na mdhaifu yake. Dini zimefanya jamii iwe in harmony.
Lakini ni wakati sasa nchi zetu zikawa huru juu ya hizi dini zilizoletwa kutoka ughaibuni. We are greater than them (dini). Kuwe tu na uhuru wa kuabudu bila kuleta shida/ kubugudhi mtu au jamii asie katika dini husika.
China sijui wana dini gani ila nafahamu kuwa wao ndio wenye uchumi imara zaidi kwa sasa hapa duniani. India naskia Kuna miungu mingi tu na uchumi wao unapanda kwa kasi sana.
Mkuu Mshana Jr hebu tueleze namna ushirikina unaweza ukawa wa faida katika jamii zetu kwa ujumla, wengi hatufahamu juu ya imani hii ya ushirikina, karibu!
 
Ushirikina mpaka milele hauwezi ku-overcome dini pamoja na mdhaifu yake. Dini zimefanya jamii iwe in harmony.
Lakini ni wakati sasa nchi zetu zikawa huru juu ya hizi dini zilizoletwa kutoka ughaibuni. We are greater than them (dini). Kuwe tu na uhuru wa kuabudu bila kuleta shida/ kubugudhi mtu au jamii asie katika dini husika.
China sijui wana dini gani ila nafahamu kuwa wao ndio wenye uchumi imara zaidi kwa sasa hapa duniani. India naskia Kuna miungu mingi tu na uchumi wao unapanda kwa kasi sana.
Mkuu Mshana Jr hebu tueleze namna ushirikina unaweza ukawa wa faida katika jamii zetu kwa ujumla, wengi hatufahamu juu ya imani hii ya ushirikina, karibu!
Tuanze kwanza nini maana ya ushirikina.
.
.
Maana hao wahindi na wachina wanaabudu mizimu, mambo ya mababu zao na imani nyingine ambazo kwa MuAfrika
Akifanya kama hao wachina huku ndo anaitwa mshirikina.......
Nini maana ya ushirikina?
 
Tuanze kwanza nini maana ya ushirikina.
.
.
Maana hao wahindi na wachina wanaabudu mizimu, mambo ya mababu zao na imani nyingine ambazo kwa MuAfrika
Akifanya kama hao wachina huku ndo anaitwa mshirikina.......
Nini maana ya ushirikina?
Yes! Tuanzie hapo, nadhani huu ndio ungepaswa kuwa mjadala. Ushirikina uwekwe wazi tuuchambue mazuri kwa mabaya yake
Kuna wanaosema kuabudu mizimu na mababu sio ushirikina bali ni mila, sasa hapa Kuna mkanganyiko wa lugha. Wenye ufahamu juu ya haya mambo karibuni mtupe mnayoyafahamu
 
Back
Top Bottom