Zanzibar 2020 Zanzibar ina wakazi laki 8, wabunge 75 wa nini?

Ni hasara kubwa sana kwa Tanzania kuacha Zanzibar iwe nje ya Muungano.

Hata kama Zanzibar wataongozwa na serikali ya ACT wazalendo kuwaruhusu Zanzibar watoke kwenye Muungano ni uhaini kwa nchi.

Ndiyo maana sisi CHADEMA hata siku moja hatutaruhusu Muungano uvunjike ila tuko tayari kutatua changamoto za Muungano zitakazojitokeza.
Hiyo hasara kubwa ni ipi?
 
You have tons to lose!

Hauko mkweli.

Ukisema umepoteza identity yako ya Uzanzibari, na kwamba ina thamani kuliko chochote mnachopata Tanganyika ntakuelewa na nakubali, hapo mmepoteza. Lakini ukijifanya huoni namna Zanzibar inavyofaidika na upendeleo wa Muungano unakuwa unasema uongo!

Wazanzibar wanakula pesa ya Watanganyika bure bure, wamejaa nchini kwetu wanafanya biashara, wabunge 75 wa Zanzibar wanatu cost mabilioni na mabilioni, umeme tunawagawia bure, nafasi za masomo, za ubalozi, na mambo mengine kibaaao, Wazanzibari wanapeteshwa kupita maelezo.
Znz ni kupe, wanyonyaji kwa Tanganyika.. period
 
Hebu imagine, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar!

Hicho kitu kinanikondesha kupita maelezo na ninamlaani Nyerere kwa kila mvuto wa pumzi ya uhai wangu
Yale maghorofa ya Kariakoo naskia asilimia kubwa ni ya Wapemba!
 
You have tons to lose!

Hauko mkweli.

Ukisema umepoteza identity yako ya Uzanzibari, na kwamba ina thamani kuliko chochote mnachopata Tanganyika ntakuelewa na nakubali, hapo mmepoteza. Lakini ukijifanya huoni namna Zanzibar inavyofaidika na upendeleo wa Muungano unakuwa unasema uongo!

Wazanzibar wanakula pesa ya Watanganyika bure bure, wamejaa nchini kwetu wanafanya biashara, wabunge 75 wa Zanzibar wanatu cost mabilioni na mabilioni, umeme tunawagawia bure, nafasi za masomo, za ubalozi, na mambo mengine kibaaao, Wazanzibari wanapeteshwa kupita maelezo.
Si unapenda kufukiziwa udi na asumini, sisi si ndio munatuita wake zenu/
Hivi uliwahi kuhesabu matumizi ya mchepuko au mkeo?
sasa bahati mbaya mkeo mwenyewe tasa hazai, unahiari kumuacha au kuendelea kugharamia.
We si unapenda manukato na marashi ya karafuu,
sasa tulia BUZI la Tanganyika Uchunwe.
bwege wewe limbukeni wa mapenzi ,
eti muungano, muungano .Pana muungano hapa?
Wezi wakubwa nyie wa fadhila.
Mukija Zenji tutawalamba,
Tukija bara tutawalamba.
Si muna mapesa ya Dhahabu na Pamba,nyie?
Nyie ni watwana wetu tuu
 
Tanganyika tunaihitaji Zanzibar kuliko Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika..

Hatuna jinsi inabidi tuwape wa Zanzibar nafasi ya kula cake ya taifa sana.. ili wasiupinge Muungano

Pia kumbuka Zanzibar sio mkoa ama wilaya kama Kinondoni na Temeke, Zanzibar ni taifa kamili ambalo lina Rais wake na lina native land yake...lazima tuwape nafasi nyingi maana bila Zanzibar hakuna Tanzania.. ila bila Temeke ama Kinondoni Tanzania bado inakuwepo
Hivi tunafaidika nini na Zanzibar sisi kama Tanganyika?
 
Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.

Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .

Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu

USSR
Kumbe wakazi wa Zanzibar ni chini ya idadi ya wakazi wa tabata?basi hawa walihitaji mbunge mmoja tu au wawili mmoja pemba mwingine unguja basi
 
Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.

Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .

Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu

USSR
Laki 8 ni takwimu ya mwaka gani?
 
Kumbe wakazi wa Zanzibar ni chini ya idadi ya wakazi wa tabata?basi hawa walihitaji mbunge mmoja tu au wawili mmoja pemba mwingine unguja basi
Hata iwe na wakazi chini kuliko kariakoo, ila kihadhi, huwezi fananisha Zanzibar na Tanzania bara yote kwa ujumla.
 
Hadhi gani unaizungumzia mkuu?
Hadhi ya kuwa nchi..... Mumeikuta Zanzibar ikiwa na serikali yake na ikitambulikana kimataifa. Unapolalamika idadi ya wabunge Zanzibar, utambue kuwa Zanzibar ni nchi na sio kama eneo lolote Tanzania bara.

- Ina Rais wake
- Ina baraza la wakilishi
- Ina vikosi vya ulinzi vyake
- ina mahakama yake
- ina Bendera yake

Sasa achilia mikoa, Tanzania Bara ina nini?
 
Hadhi ya kuwa nchi..... Mumeikuta Zanzibar ikiwa na serikali yake na ikitambulikana kimataifa. Unapolalamika idadi ya wabunge Zanzibar, utambue kuwa Zanzibar ni nchi na sio kama eneo lolote Tanzania bara.

- Ina Rais wake
- Ina baraza la wakilishi
- Ina vikosi vya ulinzi vyake
- ina mahakama yake
- ina Bendera yake

Sasa achilia mikoa, Tanzania Bara ina nini?
Bara ina nini kuhusu nini?be specific unavyouliza maswali
 
Inabidi Znz mwaka huu wafanye Lao. ....siamini huu muungano una Amani ndani yake Kuna fukuto kubwa time will tell.
 
Back
Top Bottom