antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,652
- 120,189
Mbona Kuna wahindi wazawa wengi Tanzania, na hakuna muungano kati ya Tz na India??Ila watambue kuwa muungano ukivunjika, wanzazibar wote shuruti kurudi kwao! hata makaburi ya ndugu zao ni budi wafukue waondoke na mifupa yao.