Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

Mbona hujataja makaburi yaliyo chini ya himaya yako Mkuu!? Mie sijui haya makitu wala sitaki kuyajua lakini niliwahi kusikia huwezi kumrithisha msiye na undugu naye ni lazima awe mwanao, mjukuu au ndugu wa damu hao wote huna Mkuu!? Na wengi mbona huwa wanafanya huu uharibifu wao uchawi hadi miaka 70 na hata kuendelea wakati wewe bado sana kufikia huko, kwanini UNAJIUZULU mapema kuna mchawi mwenzio jirani kakuzidi kete na maujanja? 😜😜
Ndugu wana JF huu si utani..! Niko serious..
Najiona kabisa nazeeka sasa na nguvu zinanipungua, hivyo nimekuwa na limited movements japo mahitaji bado yako juu
Nimeamua kutangaza kufafuta mrithi wa kazi zangu.
  • Mkoba mkuu mmoja
  • Mkoba wa kati
  • Mkoba mdogo
Hii mikoba yote iko Mkoa wa Pwani kilingeni Msata
Kilinge kila kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga.. Kina vifaa vyote muhimu vya kale na vya kisasa kwa shughuli zote hizo..!

Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.

Niliwahi kuwagusia kuhusu hiki kituo kitakachojulikana kama MULT FAITH RESEARCH SOCIETY. Naona muda wa kuwa umekaribia kabisa!
Nitakuja kutoa aina ya mrithi nimtakaye!

Asanteni.
 
Sasa kama umeamua kumrudia mola wako kwa nini unataka kurithisha watu mikoba yako ya kichawi? Si ungeiharibu tuu,ili wewe ubaki ma mola wako?
Roho ikishazaliwa haifi... Vilinge haviteketei kwa moto...kinachoungua ni visible objects tuu
 
Pengine Mimi sijui Kwani shughuli zako zinahusisha nini hasa ? ?

Sijaelewa hapa
"Kilinge kina kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga "
Uganga ni kuagua na kupiga ramli (sometimes chonganishi)
Ulozi ni kuwanga, na kuchezea watu kichawi
Kuroga ni kuharibu
Ushirikina ni majumuisho ya hayo yote hapo juu
 
Mbona hujataja makaburi yaliyo chini ya himaya yako Mkuu!? Mie sijui haya makitu wala sitaki kuua jua lakini niliwahi kusikia huwezi kumrithisha msiye na undugu naye ni lazima awe mwanao, mjukuu au ndugu wa damu hao wote huna Mkuu!? Na wengi mbona huwa wanafanya huu uharibifu wao uchawi hadi miaka 70 na hata kuendelea wakati wewe bado sana kufikia huko, kwanini UNAJIUZULU mapema kuna mchawi mwenzio jirani kakuzidi kete na maujanja?
Huu si uamuzi rahisi hata kidogo na kama hujajiweka vizuri unaweza kudondoka.. Hii fani hubeba siri na viapo kama vya usalama.. Lakini kuna mahali na kuna wakati unafika mtu unaamua kuwa na mwanzo mpya..SI JAMBO RAHISI TRUST ME
Bado nitabaki na mambo ya kiroho ili kujilinda ila kwasasa itakuwa ina a positive way...
Kuhusu makaburi BAK am sorry kaka siwezi kufunguka kila kitu hapa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ndugu wana JF huu si utani..! Niko serious..
Najiona kabisa nazeeka sasa na nguvu zinanipungua, hivyo nimekuwa na limited movements japo mahitaji bado yako juu
Nimeamua kutangaza kufafuta mrithi wa kazi zangu.
  • Mkoba mkuu mmoja
  • Mkoba wa kati
  • Mkoba mdogo
Hii mikoba yote iko Mkoa wa Pwani kilingeni Msata
Kilinge kila kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga.. Kina vifaa vyote muhimu vya kale na vya kisasa kwa shughuli zote hizo..!

Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.

Niliwahi kuwagusia kuhusu hiki kituo kitakachojulikana kama MULT FAITH RESEARCH SOCIETY. Naona muda wa kuwa umekaribia kabisa!
Nitakuja kutoa aina ya mrithi nimtakaye!

Asanteni.
Huyo Mungu unayetaka kumtumikia ni Mungu yupi? Ni Allah au Yehova/Yesu??

Maana hapo ndipo mnapoanzia kudanganywa na kuona kuwa nyie huo utaalamu wenu wa kiafrika sio wa Mungu, na miungu yenu ni ya shetani.

Naomba jibu la huyo Mungu unayetaka kumtumikia mkuu
 
Huyo Mungu unayetaka kumtumikia ni Mungu yupi? Ni Allah au Yehova/Yesu??

Maana hapo ndipo mnapoanzia kudanganywa na kuona kuwa nyie huo utaalamu wenu wa kiafrika sio wa Mungu, na miungu yenu ni ya shetani.

Naomba jibu la huyo Mungu unayetaka kumtumikia mkuu
Ukishaandika hivi halafu mwishoni unauliza unataka ujibiwe nini?
Maana hapo ndipo mnapoanzia kudanganywa na kuona kuwa nyie huo utaalamu wenu wa kiafrika sio wa Mungu, na miungu yenu ni ya shetani.
 
Kama kweli umeamua kumrudia Muumba wako Choma moto hizo zana za ulozi.
Vinginevyo utakuwa unafanya mchezo tu
Wale wachomaji ni wapigaji tuu... Vilinge ni maroho hayachomeki kwa hii mioto ya kibinadamu
 
mie naomba kuuliza unaweza kuondoa mtu majini aliokuwa nayo ambayo ni ya uganga???maana nimemaliza chuo nasota na hangaika kwa kila hali ila holaaaa mpm sasa.

naambiwa niganguo muarabu yupo kichwani.
 
Kinachonishangaza Mkuu ilikuwaje wewe ambaye ni well educated person kuingia kwenye hii sekta. Mimi siku zote nilikuwa najua hii sekta ni watu wa hovyo hovyo tu lumpen good for nothing ambao wamekata tamaa na maisha hivyo huingia kwenye hii sekta kuwadhuru binadamu wenzao ama ndugu, jamaa, marafiki na majirani. Je tangu uingie kwenye hii sekta umeshakutana na wasomi kama wewe au hata kukuzidi ambao nao wanafanya haya makitu? Nina maswali mengi sana Mkuu lakini najua huwezi kufunguka kiasi hicho kama ulivyodai hapo juu. Kuruka angani ni lazima iwe usiku tu? Huwezi kuruka mchana kama unaenda mahali na umechelewa ukaamua kufanya maujanja yako ili uwahi sehemu husika? 😂😂😂😂
Huu si uamuzi rahisi hata kidogo na kama hujajiweka vizuri unaweza kudondoka.. Hii fani hubeba siri na viapo kama vya usalama.. Lakini kuna mahali na kuna wakati unafika mtu unaamua kuwa na mwanzo mpya..SI JAMBO RAHISI TRUST ME
Bado nitabaki na mambo ya kiroho ili kujilinda ila kwasasa itakuwa ina a positive way...
Kuhusu makaburi BAK am sorry kaka siwezi kufunguka kila kitu hapa
 
Back
Top Bottom