Mimi niko Tanga natarajia kuhamia Mbeya. Nataka kufanya kilimo cha vitinguu saumu. Naomba msaada kujua ni wakati gani mzuri wa kupanda hili zao. Shamba langu liko Itewe nitashukuru kwa michango yenu.
Habari zenu wanajamii,
Nina plan ya kuanzisha kilimo cha mahindi maeneo ya Inyala Mkoani Mbeya. Nimepata ekari 20. Lakini sijawahi kilima mahindi mkoa huo. Kwa hiyo kabla sijaanza nilipenda kufahamu gharama za ulimaji kwa trekta kwa ekari moja uko vipi, gharama za wapandaji, palizi. Naombeni...
Natumaini wote muwazima, leo nazungumzia hili wimbi la wanao jitoa CDM kurudi ccm.Siku moja Niliwahi kumuuliza mchonga kinyago anafanyaje mpaka kupata sura kamili ya kile anchokichonga. Kwa mfano simba. Kilichoniacha hoi nijibu alilonipa, Kwamba akichukua gogo anachofanya nikuondoa kile...
Habarini wanajamvi.
Nami nimeona nichangie kidogo kwa habari ya Muungano. Kwa mtazamo wangu naamini kwamba muungano ni imani kwamaana ya kwamba tunatakiwa kuamini kuwa tumeungana.
Na imani ni tendo la rohoni nikitu kisichoonekana kwa macho wala hakishikik. Hata leo ukimwambia Nyerere na...
Hoja yako yakwamba TECNO wamebase Africa inamlengo gani? Katika orodha yote hakuna simu iliyokuwa specified kwa ajili ya nchi fulani. Inaonekana wewe bado unakasumba ya uzungu na uarabu kwamba ni bora kuliko uafrica. Pole ndugu toka utumwani.
Habari zenu wana jamii. Naomba msaada wenu kwa mwenye ufahamu, nataka kujua ni topic gani za somo la uchumi zinazo fundishwa katika high school. Pia nitafurahi kama nitafahamishwa ni vitabu gani vinavyo faa au tumika.
Msaada wenu ni muhimu kwa wakati huu.
Habari wana jamvi, naomba msaada kwa anaye fahamu sylubus kwa Combi ya H.G.E nataka kuandaa vitabu na materials nyingine kwa ajili ya maandalizi kujiunga na kidato cha tano.
Heshima yenu manajamvi. Nimepata wazo la kufungua duka la kisasa la kuuza mboga mboga na matunda fresh mjini Tanga. Lakini changa moto nayoiona ni jinsi nitaka vyoweza kutunza hizo bidhaa bila kuharibika. Wenye ufahamu karibuni kwa ushauri. Asanteni.
Malinzi naye alikuwa yebo yebo kabla hajaukwaa urais wa TFF. Lakini hebu tuangalie imekkaaje! hawa jamaa wote wanatoka ng'ambo ya ziwa fulani wana jamvi hii iko vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.