upo wapijamani mim naomba kusaidiwa shule za a level nzuri ni zp kwa sababu natafuta shule; nahitaj msaada wenu tafadhali
hizo ndo subject outline za economics... Ukasome sasa dogo
Waungwana nami naomba kujua Vitabu vinavyofaa kwa HKL ili nimnunulie mdogo wangu atakaefanya mtiani mwaka kesho kama PC.
Natanguliza shukurani kwenu.
Wakuu hakuna mwenye ufahamu na hili jambo? Mbona kimya wasomi mko wapi????!!!!
subiri wavivu wenzio waje,we dume zima utasomaje HKL?
subiri wavivu wenzio waje,we dume zima utasomaje HKL?
Tafuta vitabu hivi:
1. An Introduction To Modern Economics by
.Hardwick
.Khan &
.Langmead
Hiki kitabu nakitafuta sana Aisee..vip unaeza kunielekeza wapi nitakipata Mkuu
Kama una access na mtu yuko Uganda kitabu cha Econ p1 ni kizuri hatari. Kina cover ya yellow hivi nmesahau author wake. Its been long. Nikikumbuka nikakuambia.