wasomi wa nchi za nje wanaspend muda wao kwenye research na ugunduzi.wasomi wa mlimani wanaspend muda wao kumdiscuss mropokaji kibonde,kuangalia pcha za ngono,man u na aseno,kukariri vitin/pamphlets na lecture notes,.HATUNA JIPYA NDO MAANA TUNAPATA MUDA WA KUDISCUSS KIBONDE.
huyu jamaa ni mshabiki kweli, badala ya kuja na mada ya unemployment ya TZ,anakuja na unemployment ya wahitimu wa UDOM,..nakushauri ukatangaze kipindi cha jahaz la clouds fm,coz hauna tofauti na kibonde,tabia zenu za kucoment out of nowhere,..TALK ABOUT RATE OF UNEMPLOYMENT IN TZ AND THEN U CAN...
kama huna data una right ya kufanya uzushi,watu mnajifanya great thinkers kumbe hamna tofauti na wanawake wa uswahilini,atleast tungejua we ni nani ulieleta hii mada,sasa hatukujui we nani na wala hujatuletea evidence/data,source...its a crap that aint even worth commentin on. KINA MAKAMBA WAKO...
kama huna data una right ya kufanya,watu mnajifanya great thinkers kumbe hamna tofauti na wanawake wa uswahilini,atleast tungejua we ni nani ulieleta hii mada,sasa hatukujui we nani na wala hujatuletea evidence/data,source...its a crap that aint even worth commentin on. KINA MAKAMBA WAKO WENGI...
kumbuka lecturers still wako kwenye "extending meeting",so Leonard Singo,the president; amewataka wanafunzi wawe na subra,wakisubiri utatuzi wa madai ya lecturers,kesho makatibu wa wizara 2 tofauti,probably finance n education,together with CAG,watakuja UDOM na kufanya ukaguzi,n then on saturday...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.