Recent content by m2me

  1. M

    Marufuku kumwita mtu fulani: "Mwamba"

    Nimekupata mwamba
  2. M

    Dawa ya fungus za miguuni

    Tumia vidonge "gresiofluvin" 1x30 Na Metronidazole cream kwa kupaka
  3. M

    Kutoka kuwa mke wa ndoa na kuwa mchepuko

    Kuna tatizo! Kosea kujenga..
  4. M

    Trump kurejea katika mitandao ya kijamii na mtandao wake mwenyewe

    Yapi hayo ya ajabu..taja kwa uchache 1. Kukataa ushoga 2. Viongozi wa Africa-Shit hole 3. Wahamiaji haramu 4. Kukiri ubaguzi adharani 5... Ama?
  5. M

    Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

    .. ..shamba siyo la mtu, ni la "manyani wote" mwakani hakuna shaka ya chakula kwani haliko wazi hadi sasa. Yupo nyani mteule na tayari kaanza kutia mbegu shambani.
  6. M

    Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

    😄😄 askari wetu nao 'changamoto' kamata, tia bakora!
  7. M

    Kitovu kudondokea kwenye uume: Dhana ya kishenzi inayothibitisha uduni wa akili ya mwafrika

    Siyo kweli kuwa atakuwa hanithi au tasa. Ili fanywa hivyo ili kufichwa ukweli ambao unaamini upo na kwa baadhi tu waliobarikiwa kuujuwa. Swali ni hayo yanayofichwa nyuma ya huanithi na utasa unaamini yapo na ni halisia? QUOTE="LIKUD, post: 35461998, member: 116096"] Sijaelewa swali lako ...
  8. M

    Huyu mwanamke inapoelekea nitampiga nifungwe bure

    Yawezekana amegundua amekosea, msikilize! Wasikilize wazazi wake. Samehe kisha fanya uamuzi. Kwa jinsi ulivyokuwa ukishiriki masuala yote ya familia yake, sijasikia ni vipi wao walishiriki katika ugonjwa wa mama yako hata kumjulia hali Muhimbili. Mahusiano ya familia hizi mbili yalikuwaje...
  9. M

    Tembelea JamiiForums bure (bila kifurushi) kwa kutumia Freebasics

    Naomba kusaidiwa contact za mmiliki wa freebasics/fb kama email address, website n.k marxlups,
Back
Top Bottom