Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,146
- 7,002
Sasa Analia lia nn,?? Anajirekodi au wewe ndio umemrekodi??Mbona nyimbo kashatunga na imeachiwa leo mida ya sa4 asubuh
Sasa Analia lia nn,?? Anajirekodi au wewe ndio umemrekodi??Mbona nyimbo kashatunga na imeachiwa leo mida ya sa4 asubuh
Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
Ugonjwa jeNi Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyaficha
Mimba
Ushamba........
Ndio nan huyo?Hivi manunu ameshapatikana!?
Jameni!!! Hukuisikia hiyo deal ya milioni 2Ndio nan huyo?
😄😄 askari wetu nao 'changamoto' kamata, tia bakora!Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
Hamo mjinga kama wajinga wengine tu. Hivi kama si umbumbumbu unadhamiria kabisa kuset kamera za simu yako tena unaweka front camera, unaamua kuanza kulia! Unamaliza kulia unasave video clip? Unaangalia kama umelia vzr au la!😁 unagundua umelia vibaya,🤣🤣 unarudia upya, unalia vzr kisha unaitafta Instagram iliko! Unatafakari uandike nini ulivolia ili upost🤣 ....
Ni mjinga pekee anaweza kufanya hayo yote🤣
Tundu lissu kamwe hawezi kuwa rais
Ni Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyaficha
Mimba
Ushamba........
Hivi manunu ameshapatikana!?
🤣🤣🤣🤣🤣Ni Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyaficha
Mimba
Ushamba........
😀 😀 😀 😀 😀Hivi manunu ameshapatikana!?