Harmonize sio poa kutafuta Kiki kupitia kifo Cha Mhe Magufuli

Hamo mjinga kama wajinga wengine tu. Hivi kama si umbumbumbu unadhamiria kabisa kuset kamera za simu yako tena unaweka front camera, unaamua kuanza kulia! Unamaliza kulia unasave video clip? Unaangalia kama umelia vzr au la!😁 unagundua umelia vibaya,🤣🤣 unarudia upya, unalia vzr kisha unaitafta Instagram iliko! Unatafakari uandike nini ulivolia ili upost🤣 ....
Ni mjinga pekee anaweza kufanya hayo yote🤣
 
Yule dogo sijawahi kumuelewa,sijajua ni ulimbukweni sijui ni ushamba..Any way nahisi ni utoto mwingi unamsumbua huyu kijana.
 
Kwahiyo nyinyi wote mnataka kufanyaje kwa mfano?
Nendeni kwa huyo konde basi mkamshambulie kwa mangumi sio mnabwabwaja hapa kama wanawake
 
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.
😄😄 askari wetu nao 'changamoto' kamata, tia bakora!
 
Hamo mjinga kama wajinga wengine tu. Hivi kama si umbumbumbu unadhamiria kabisa kuset kamera za simu yako tena unaweka front camera, unaamua kuanza kulia! Unamaliza kulia unasave video clip? Unaangalia kama umelia vzr au la!😁 unagundua umelia vibaya,🤣🤣 unarudia upya, unalia vzr kisha unaitafta Instagram iliko! Unatafakari uandike nini ulivolia ili upost🤣 ....
Ni mjinga pekee anaweza kufanya hayo yote🤣

😂😂😂
 
Back
Top Bottom