Maji moto na chumvi ya kutosha, choma kidonda asubuhi na jioni halafu jitahidi kuvaa viatu vya wazi kadiri iwezekanavyo, pia nunua soksi 100 cotton na sio polyester. Mie nilkuwa na pair ya sandals chini ya desk, nikiwa ofisini navaa sandals.Kidole changu mguu wa kushoto, fangasi wataondoka nacho, ngoja nipake hiyo ndimu nione kesho asubuhi kama nitaamka nimepona