Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Nimesikiliza hotuba ya jana ktk uapisho wa viongozi mbalimbali, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu ameonesha kuna jambo gumu alikuwa analitatua likamshinda akaachana nalo.
Jambo gani hili? Akiachana nalo halina madhara kwetu sisi wananchi na Serikali yake?
Jambo gani hili? Akiachana nalo halina madhara kwetu sisi wananchi na Serikali yake?