Recent content by lyon

  1. L

    Jibu la prof Sheriff kwa prof Tibaijuka

    Kama kweli mafuta yapo kwenye mwambao wa visiwa vyao, hakuna sababu ya kuvunja muungano mpaka tuyanyonye kwanza
  2. L

    Mh Habib Mchange unahujumiwa Kibaha mjini?

    Embu msomeni mtoa mada kwa makini kabla hamjakurupuka kujibu hoja, kuna watu humu mnapenda kujibu jibu hoja bila kutafakari alichosema mtoa hoja au ndio kuoengeza idadi za post.
  3. L

    Kikwete akutana na uongozi wa CHADEMA Ikulu; Dr. Slaa ndani

    Hata mimi kwangu zimegoma kufunguka au mpaka utumie OS fulani
  4. L

    Best movies

    UNTHINKABLE ya Samuel Jackson
  5. L

    ona janja ya chazbaba.

    Lakini watu wanajaa nimeishuhudia j'tano hii Bilicanas.
  6. L

    Lowassa aiteka CC na NEC...

    mimi napita tu nitarudi baadae
  7. L

    Polisi: Maandamano ya Novemba 26 marufuku!

    mateso tunajitakia wenye kwa umbumbu wetu
  8. L

    Polisi: Maandamano ya Novemba 26 marufuku!

    yale yale niliokuwa nawaza ndio hayo sasa al-shabaab ishakuwa sababu
  9. L

    Lowassa: Wakining'oa NEC nitaeleza ukweli kuhusu Richmond

    Ushauri wangu aendelee kukaa kimya maana atazidi kuishusha hata hiyo hadhi yake kidogo iliyo bakia
  10. L

    Lowassa: Wakining'oa NEC nitaeleza ukweli kuhusu Richmond

    hajioni wasafi wanajijua kama wameisha chafuka sema kuchafuka kwao kuna tofautiana
  11. L

    Walimu waongoza kwa kuolewa ukilinganisha na sekta nyingine

    hicho si kigezo sahihi cha kupima ulipaswa uwaulize kwani wengi sikuhizi wanavaa pete za ndoa kama fasheni
  12. L

    Naomba msaada wa kukomfiga modem nitumie bure wadau

    hebu tuacheni mambo ya ujanja ujanja modem zipo zinauzwa ww unataka vya bure (wizi). Hata mafisadi wanao imaliza nchi hii walianza hivihivi ndio nyie mkija kuwa viongozi mtauza nchi kwa kupenda vya bure
  13. L

    Amatus Liyumba kujiunga na TLP au NCCR Mageuzi

    Bwana Liyumba karibu kwenye chama chetu cha TLP utuletee mipasa uliyo iba BOT tuimarishe chama chetu
  14. L

    Mashishanga chukua mtoto wako CHADEMA-Mbowe

    kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake kwahiyo na mzee mashishanga katoa maono yake kwa upeo wake
Back
Top Bottom