Embu msomeni mtoa mada kwa makini kabla hamjakurupuka kujibu hoja, kuna watu humu mnapenda kujibu jibu hoja bila kutafakari alichosema mtoa hoja au ndio kuoengeza idadi za post.
hebu tuacheni mambo ya ujanja ujanja modem zipo zinauzwa ww unataka vya bure (wizi). Hata mafisadi wanao imaliza nchi hii walianza hivihivi ndio nyie mkija kuwa viongozi mtauza nchi kwa kupenda vya bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.