Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kamtishe mama yako, Baba yako na watoto wako.....Na siku hiyo kutakuwa na ulinzi wa ajabu yaani hata nzi hatasogea, atakayekuwa hajitaki ajitokeze , utajuta kuzaliwa!
Kamtishe mama yako, Baba yako na watoto wako.....Na siku hiyo kutakuwa na ulinzi wa ajabu yaani hata nzi hatasogea, atakayekuwa hajitaki ajitokeze , utajuta kuzaliwa!
Mnatisha watu na polisi na magereza mnachekesha kweli hivi hayo magereza yana himili watanzania milion ngapi vile.....Ukitoka tu nyumbani kwako ujue unakwenda kuswekwa Lupango. Acha mpango wa kuandamana bali tafuta njia mbadala ya kufikisha madai yako
Mnatisha watu na polisi na magereza mnachekesha kweli hivi hayo magereza yana himili watanzania milion ngapi vile.....
ukitoka tu nyumbani kwako ujue unakwenda kuswekwa lupango. Acha mpango wa kuandamana bali tafuta njia mbadala ya kufikisha madai yako
maandamano yaliyotaka yafanywe na asasi zisizo za kiserikali kudai marekebisho ya mswada wa katiba yamekwaa kisiki kikuu cha alshababu, mpaka nawasilisha nikuwa kutokana na tishio la alshabab hakutakuwepo kwani ni gharama na kazi kubwa kuhakikisha usalama katika maandamano yao.
atakaye andamana kukutana na nguvu ya dola.
naomba kuwasilisha
my take:
Mbona mkuu wa kaya alikaa na wazee
Kova anajua al shabaab watakuwepo kwenye maandamano, kwanini asitumie mwanya huo kuwakamata?
tena ingekuwa trick maridawa, angefanya kama alivyokamata mtoto wa gaddafi,
walioandamana arusha juzi kumpokea lema al shaabab walikuwa likizo, walipoandamana machinga mbeya juzi al shaabab walikuwa likizo, mkusanyiko wa kikao cha ccm dodoma al shaabab wapo likizo, jk kukutana na wazee wa ccm sabasaba ground tena huko temeke al shaabab walikuwa likizo! mikusanyiko inayoendelea kuadhimisha miaka 50 ya uhuru mamboleo al shaabab wapo likizo, siku ya tar. 9 dec uwanja wa taifa watakuwa likizo....lakini tarehe 26 maandamano ya wananchi kupinga utaratibu ulotumika kuandaa mswada wa katiba al shaabab watakuwa kazini...well n' good. msg sent!
dah hii nchi...kuna wakati mtu unapata hasira ....ila tutafika tu...!
huyu Kova anafikiri kwa masuburi yasiyosafishwa, na TUTAANDAMANA tuone al shabaab watafanya nini.
Maandamano yaliyotaka yafanywe na asasi zisizo za kiserikali kudai marekebisho ya mswada wa katiba yamekwaa kisiki kikuu cha alshababu, Mpaka nawasilisha nikuwa kutokana na Tishio la alshabab hakutakuwepo kwani ni gharama na kazi kubwa kuhakikisha usalama katika maandamano yao.
Atakaye andamana kukutana na nguvu ya dola.
Naomba kuwasilisha
My Take:
Mbona mkuu wa kaya alikaa na wazee
Na siku hiyo kutakuwa na ulinzi wa ajabu yaani hata nzi hatasogea, atakayekuwa hajitaki ajitokeze , utajuta kuzaliwa!