Watu kama Zakia (waliozaliwa znz) na kiushi bara wako wengi bara. Vile vile Wabara (waliozaliwa Tanganyika ) na wanaishi Zanzibar . Watu wa aina hii hawawakilishi serikali za mahala alipozaliwa. Niliwahi kuishi jimbo la Amaan Zanzibar 80s, wakati huo mbunge wetu alikuwa mzaliwa wa Tanganyika Mh, Justus Issak na aliwakilisha jimbo letu kama mbunge kutoka Zanzibar.
Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa kutoka baraza la wawakilishi halikua na taarifa officially kuhusu nini kinaombwa na ujumbe wa pr.A. Tibaijua UN. Kama Baraza la Mapinduzi lingekuwa na taarifa basi maelezo yote yengejibiwa na Balozi Seif Iddi. Baada ya Shamuhuna kukiri kama yeye binafisi alijua lakini baraza la Mapinduzi halijui. Hapa ilichezwa deal kwa makusudi . Kwasababu Tanganyika walijua Baraza la Mapinduzi au Baraza la wawakilishi lina wajumbe wa chama cha upinzani.
Kwahiyi mambo yalipitishwa kinyume cha sheria ilikufanikisha agenda zao. Tibaijuka alisema yeye alipewa ruhusa na boss wake kwenda UN. Lakini hukukua na taarifa ya mjumbe aliyetoka Zanzibar kwenye baraza la Mapinduzi ila Shamuhuna yeye ndio aliyemtuma . Baraza la Mapinduzi ndio chombo kikuu cha maamuzi yote ya serikali ya UMK.
Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa kutoka baraza la wawakilishi halikua na taarifa officially kuhusu nini kinaombwa na ujumbe wa pr.A. Tibaijua UN. Kama Baraza la Mapinduzi lingekuwa na taarifa basi maelezo yote yengejibiwa na Balozi Seif Iddi. Baada ya Shamuhuna kukiri kama yeye binafisi alijua lakini baraza la Mapinduzi halijui. Hapa ilichezwa deal kwa makusudi . Kwasababu Tanganyika walijua Baraza la Mapinduzi au Baraza la wawakilishi lina wajumbe wa chama cha upinzani..
Huna hoja, hoja hapa ni wizi.
ilboru ilitoa watu na viatu
Hawa watu waajabu sana, Wakati wa hotuba ya Tundu Lisu bungeni akichambua mikanganyo ya muungano walipiga kelele sana hawa watu kumpinga, leo yanajitokeza mambo haohao wana piga tena kelele kama kundi la wehu. Ajabu sana.
Baadhi yetu tunaiona Zanzibar inaweza kuwa kama SriLanka nyingine Muungano ukivunjwa. Tamil Tigers unawaona dhahiri sasa.Kinachotufaya tuukumbatie Muungano hata wanapotukanwa mawaziri ni hizi mali za asili "black Gold".
La sivyo zamani Muungano ungekuwa umeshavunjika. Mali mbaya sana hata utukanwe wewe umo tu.
Mnaukumbatia Muungano kwa kuuogopa Uislaam. Waacheni Wazanzibari na nchi yao, kama wana mafuta, hawana, hayo ni yao. Mpaka wanawatukana nyie mmo tu. Kwa nini zaidi? mnatutukanisha nchi nzima wengine hatuna haja na huu Muungano.
Mnaukumbatia Muungano kwa kuuogopa Uislaam. Waacheni Wazanzibari na nchi yao, kama wana mafuta, hawana, hayo ni yao. Mpaka wanawatukana nyie mmo tu. Kwa nini zaidi? mnatutukanisha nchi nzima wengine hatuna haja na huu Muungano.
Harufu ya karafuu imegeuka kuwa harufu ya uozo!!HABARI ZENU,
The controversy about the extension of the sea boundary has come at the right time when Zanzibaris have shown that they will no longer be hijacked when their vital national interest are at stake, regardless of party affiliation. It was rather disingenuous for Prof Tubaijuka to try to introduce party divisions when she claimed that CUF was claiming that Zanzibar was not consulted.
If she heard the debate in the House of Representatives, it was almost unanimous, and prominent CCM backbenchers made a point of saying that this was not the question of CUF but of the whole of Zanzibar. She should not try to divide Zanzibaris again. We have suffered enough from such tactics.
It seems that mainland leaders feel that if you have a few Zanzibaris in your gang, then Zanzibaris are represented and it is never difficult to get a few vibaraka, as we know all too well from our history. The question is whether the people in Zanzibar even knew this business was cooking certainly the House of Representatives, a body that was elected by the whole people of Zanzibar, did not know about it until the professor was in New York presenting the document to the UN. I and many of my friends who try to keep up with events affecting our country were taken by surprise.
Prof Tibaijuka may be right that some people even in the Zanzibar Government may have been aware of this project, but the Minister of Lands in Zanzibar, Mr Shamhuna himself said in the House of Representatives that he know about it, but the Zanzibar Government did not know it officially.
The Executive Summary of Tanzanias submission to the UN has 2 long lists of institutions and people who were involved in this project, but mentions only Shamhunas Ministry of Lands out of 9 institutions, and only one State Attorney from Zanzibar out of 8 members of the Technical Core Group.
Now Professor Tubaijuka mentions a few more names of Zanzibari representative, including my friend and former student Zakia Meghji, but if my memory serves me right, she used to be an MP for Moshi, and has never pretended to be representing Zanzibar except as a person who was born in Zanzibar. This is definitely a case of desperation in looking for Zanzibari faces.
But all this still does not cover the substantive issue involved. It is well known that Foreign Affairs is a Union matter, and therefore any dealings with the UN has to involve the Minister of Foreign Affairs, even if the exact issue involves only one side of our Union. There are plenty of cases when this has been done about issues concerning non-Union matters of Mainland Tanzania.
Therefore, it is not a favour to Zanzibar that once in a while the Ministry of Foreign Affairs has to take up the case when Zanzibars interests are concerned it is our right, iof we are part of the Union. The same applies to the defence of Tanzanias territorial boundaries, which include the now extended boundaries in the Indian Ocean that is its responsibility.
But this does not mean that the Union Government therefore becomes the owner of all the resources within the territorial boundaries of Tanzania. The Articles of Union had defined 11 Union Matters that came under the Union Government, and the sea is not one of them. Since 1964, the Union Matters have been increased to 22, illegally according to Prof.
Shivji, but even in this extended list you will look in vain for the blue seas. It is for this reason that Prof. Tubaijuka is the Minister of Lands, Housing and Human Settlements Development (all non-Union matters), but the seas are not included. Why she was sent and not the Minister of Foreign Affairs is for the Union President to explain.
Therefore, it has to be admitted that since the oceanic resources are not a Union matter, but are of vital concern for the islands of Zanzibar which are surrounded by the sea on all sides, the people of Zanzibar have a direct stake in what is decided about their resources. And here it is not enough to mention a few names, however, highly placed they may be, and say Zanzibaris were represented.
The same argument was used in the case of the first draft of the Constitution Bill. Former Speaker Samuel Sitta claimed that Zanzibaris were consulted, naming the Zanzibar Minister of Good Governance and the AG, but it turned out that they were asked to submit their recommendations, but adopted only two out of 13, and threw the rest in the dustbin, and then went on to add many more without consulting even the Zanzibar Government.
Dont they ever learn?
What the Representative Ismail Jussa was trying to do was to teach our Big Brother another lesson, and the mainland-based Swahili newspaper dares to ask him to apologise to Prof Tubaijuka?
I think it is Prof Tubaijuka and the Union Government that need to apologise to the people of Zanzibaris for trying once gain to take us for a ride. But as the old politician Hasan Nassor Moyo told Samuel Sitta, the new generation in Zanzibar is not the same as the old generation of the 1960s, and will not say hewallah bwana.
Abdul Sheriff
Kinachotufaya tuukumbatie Muungano hata wanapotukanwa mawaziri ni hizi mali za asili "black Gold".
La sivyo zamani Muungano ungekuwa umeshavunjika. Mali mbaya sana hata utukanwe wewe umo tu.
Baadhi yetu tunaiona Zanzibar inaweza kuwa kama SriLanka nyingine Muungano ukivunjwa. Tamil Tigers unawaona dhahiri sasa.
nadhani kabla ya kutukana sana, ungekuwa msomi mwema kwa kutafuta na kumtambua huyu ni nani ? katika fani za elimu na duniani.