Ninachokiwaza kuwa baada tu ya kuona umepata placement lakini ukaamua kuandika barua kuwa hutoweza kwenda kufanya kazi kabla hata ya kupata hiyo cheque number. Maana cheque number mpk ufate kamrorongo flani ndio uipata
Wapendwa habari zenu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Wanajamvi hivi ikitokea umepata kazi lakini kwasababu fulani ukahitaji kutokwenda kazini. Je ni hatua gani unatakiwa kuzifuata ili uwe salama hata baadae utakapoomba kazi serikali uwe eligible kupata kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.