osieee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 222
- 232
Wakuu habari za siku nyingi,
Leo ninakuja na andiko kuhusu namna kilimo cha mbogamboga kinavyowanufaisha wakazi wa wilaya ya Lushoto na halmashauri zake.
Wilaya ya Lushoto inapatikana katika safu za milima ya usambara ndani ya Mkoa wa Tanga, kwa asilimia kubwa wenyeji wa wilaya hii ni kabila la Wasambaa.
Lushoto imekuwa wilaya ambayo inazalisha kwa wingi mbogamboga ambazo kila siku magari huja kuzifungasha na kuzipeleka kwenye masoko makubwa yaliyopo Dar es Saalam Zanzibar Tanga na hata nje ya nchi.
Vijana wengi Lushoto wamepata maendeleo kiuchumi kwa kilimo hiki cha mboga mboga ambacho nyie watoto wa mjini mnakiona takataka, huku Lushoto watu wanajenga na kununua magari kisa kilimo cha mboga mboga, Kijana usikae mjini huku huna kazi njoo uungane nasi vijana wenzako huku Lushoto kuchapa kazi.
Karibuni sana Lushoto tutajirike kupitia kilimo cha mboga mboga.
Leo ninakuja na andiko kuhusu namna kilimo cha mbogamboga kinavyowanufaisha wakazi wa wilaya ya Lushoto na halmashauri zake.
Wilaya ya Lushoto inapatikana katika safu za milima ya usambara ndani ya Mkoa wa Tanga, kwa asilimia kubwa wenyeji wa wilaya hii ni kabila la Wasambaa.
Lushoto imekuwa wilaya ambayo inazalisha kwa wingi mbogamboga ambazo kila siku magari huja kuzifungasha na kuzipeleka kwenye masoko makubwa yaliyopo Dar es Saalam Zanzibar Tanga na hata nje ya nchi.
Vijana wengi Lushoto wamepata maendeleo kiuchumi kwa kilimo hiki cha mboga mboga ambacho nyie watoto wa mjini mnakiona takataka, huku Lushoto watu wanajenga na kununua magari kisa kilimo cha mboga mboga, Kijana usikae mjini huku huna kazi njoo uungane nasi vijana wenzako huku Lushoto kuchapa kazi.
Karibuni sana Lushoto tutajirike kupitia kilimo cha mboga mboga.