Kitendo cha CCM, chama ambacho ni kikongwe na ambacho miaka yote kimetawala nchi kutumia HELKOPITA 2 kwa ajili ya kampeni kinadhilirisha kuwa hali si shwari hata kidogo. Wananchi wa Igunga wengi wamechoshwa na hadi hewa za kila wakati hivyo hawana hamu tena ya kuona CCM inaendelea, ambao wako...