Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Amewaambia wabunge watakaopitisha mswaada huo laana za watz zitawaangukia!
Kama kuna mwana jf anaangalia bunge ataona kulikuwa na umuhimu wa wabunge kutosusia mjadala bali wangeupinga kwa hoja kama anavyofanya MH.JOSEPH MACHALI-KASULU MJINI[NCCR_ MAGEUZI]
Mb Machali ameichana chana mswada wa katiba kwa upana, amesema... kama mswada utapitishwa basi damu ya watanzania itakuwa juu ya wabunge wa ccm wote kwani maoni ya watanzania wote walitaka mswada usomwe kwa mara ya kwanza.
amesema hakutaka kutoka ili aweze kuwaeleza wabunge wa ccm kwa uwazi pasipo kuwaficha tatizo walilo nalo wana ccm.
kazi ipo kweli kweli