hivi pinda ni waziri mkuu wa tanzania au wa rukwa na katavi tu? mwezi mmoja hauwezi pita bila yeye kutembelea mikoa hiyo. binafsi sijawahi kusikia ametembelea lindi au mtwara
unashangaa KIU? me nawajua watu kibao walifeli form 4, hawana credit 3, na sasa wako morogoro muslim university
kuna wengine nao ni failure lakini wanachukua bachelor mzumbe. sasa kwa mtindo huu ni bora serikali ikatangaza rasmi kua kujiunga na university hata failures ruksa
wadau udom wameita watu kusailiwa ni wa skuli of humanities angalieni kwenye web yao.
naombeni mnijulishe kama political science ni part of skuli of humanities wakuu
tokea ushike wadhifa wako mwaka 2008, nimekuwa nikifuatilia utendaji wako wa kazi hususani ziara za kuhamasisha maendeleo na kuwaamsha watendaji waliolala huko mikoani na mawilayani. nilichogundua ni kwamba umejikita zaidi kutembelea katavi na rukwa. ni ukweli usiofichika kuwa hauwezi kaa miezi...
afya ya nyerere ilikua ya mashaka bcoz alizeeka mapema sana nadhani kutokana na concentration ya mawazo. kumbuka kenyatta amezaliwa 1880's lakini ukiwatazama pichani unaweza hisi wanalingana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.