Amerudi

Amerudi

Spinster

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
487
Reaction score
138
aliniacha kwa mbwembwe zote..sasa nashanga..amerudi,tena kwa mbwebwe za kuomba msamahi,sms za sorry zinafululika kama mvua..had anajaza inbox yangu...Mwanaume hana haya huyu mana kasahau kashfa,na kibut alichonipa anarud mdogooo kuomba msamahaaaa....
Too bad kwake cz cwez kurudia matapishi yangu,aliniacha majestically na mbaya zaid janaume zima lilinidai vtu alivyonipa kwa nguvu zoote...bibye nlirudisha kila alichonidai kuepusha shari,nlikubaliana na maamuzi n nkamuv on na maisha yangu.. sa hv anajifanya kuomba msamaha cjui yamemshinda nn huko
..my lovely dada wenzangu ucje kufanya mistake ya kumrudia mwanaume aliekukashfu,na kutangaza kila kona mlipoachana...hiyo ndo type ya wanaume wasio na msimamo..na ndo type ya wanaume wanaotangaza siri za ndan kwa ndugu na majiran..
Wanaume bhana...i cant u guyssss..your anothrr kabisssa...hahahaha
 
kuweni friends with benefits,kila mtu akipata wake mnaachana for good. nakutania mwaya pima uliumia kiasi gani kama unaweza msamehe samehe kama huwezi,butua oops mpe na wewe kibuti.:cheer2:
 
aliniacha kwa mbwembwe zote..sasa nashanga..amerudi,tena kwa mbwebwe za kuomba msamahi,sms za sorry zinafululika kama mvua..had anajaza inbox yangu...Mwanaume hana haya huyu mana kasahau kashfa,na kibut alichonipa anarud mdogooo kuomba msamahaaaa....
Too bad kwake cz cwez kurudia matapishi yangu,aliniacha majestically na mbaya zaid janaume zima lilinidai vtu alivyonipa kwa nguvu zoote...bibye nlirudisha kila alichonidai kuepusha shari,nlikubaliana na maamuzi n nkamuv on na maisha yangu.. sa hv anajifanya kuomba msamaha cjui yamemshinda nn huko
..my lovely dada wenzangu ucje kufanya mistake ya kumrudia mwanaume aliekukashfu,na kutangaza kila kona mlipoachana...hiyo ndo type ya wanaume wasio na msimamo..na ndo type ya wanaume wanaotangaza siri za ndan kwa ndugu na majiran..
Wanaume bhana...i cant u guyssss..your anothrr kabisssa...hahahaha

Eeeh....polepole Dada, Naomba Husituchafue Wanaume!
Unadhani Kila Ukikutana Na Mwenye Jinsia Ya Kiume, Ni Mwanaume?
Huyo Wako Hana Material Ya Mwanaume, So Kama Vp Muhukumu Yeye Binafsi Na Wenzie!
 
ila hata mimi sometimes i cant them kabisaa lol
 
Spinster hebu achana na poyoyo huyo, njoo kwangu mimi mzee wa upendo wa dhati na malavidavi ya kumwaga. Unataka nini sema nitakupa. Kama ni raha au mapenzi motomoto, hapa 1000% guaranteed. Kama ni hela, fedha dhahabu almasi na rubi usijali, tutavaa tu midosho ili tusiende jela. Nakupenda sana Spinster
 
Last edited by a moderator:
Ukiangalia story vizuri Si rahisi mwanaume aanze kukuacha then akadai vitu,ukidaiwa vitu kuna tatizo lililoanzishwa na huyu girl na mara nyingi Ni kuanza kutoka na mtu mwingine kwa siri na huyu Jamaa kuwa backup,experience inaonyesha wote wanaodaiwa Ndo walianza / wanaoanza cheating, I remain to be corrected
 
Spinster hebu achana na poyoyo huyo, njoo kwangu mimi mzee wa upendo wa dhati na malavidavi ya kumwaga. Unataka nini sema nitakupa. Kama ni raha au mapenzi motomoto, hapa 1000% guaranteed. Kama ni hela, fedha dhahabu almasi na rubi usijali, tutavaa tu midosho ili tusiende jela. Nakupenda sana Spinster

jamaa unataka kubeba kifaa kiurainiiiii.......
 
Last edited by a moderator:
befire u start crticizing men maybe u shuld ask urself wat is it abt u that keeps attracting such kind of men....
 
Piga chini huyo....ulambe matapish umekuwa paka weye?
 
Shosti poleeeee! So ukarudisha kabisaaaaaaaaa! Thubutu yangu!!!!!!!!!!! Labda aanze kunirudishia Uroda wangu wote niliompa!!!!!!!!!! NYAMAFFFFFFFFFFF KABISA!!!!!!!!!!!! Sirudishi hata aje anidai na Mdundiko!!!!!! Kiendacho kwa mganga hakirudi bibi wewe!!!!!!!!!

Akitaka akafungu jalada la madai mahakama ya mwanzo!!!!!!!
 
Ukiangalia story vizuri Si rahisi mwanaume aanze kukuacha then akadai vitu,ukidaiwa vitu kuna tatizo lililoanzishwa na huyu girl na mara nyingi Ni kuanza kutoka na mtu mwingine kwa siri na huyu Jamaa kuwa backup,experience inaonyesha wote wanaodaiwa Ndo walianza / wanaoanza cheating, I remain to be corrected

hakuna bhana..ni limbuken tu,mana mwanaume wa ukwel uwez kudai k2 ulichompa mpnz wako mkiachana..nahc alidhan ntambembeleza acnidai na mm ckua na mda..nlimpa kila k2 chake..thn nkakaa kimya..ckuwa kumtafuta,wala kumuliza kwa nn ameniacha..ila yy sasa..alikua anaweweseka..kunichafulia,kila leo nlikua nackia kashfa zake..leo anarud tena mdogooo ...
 
aliniacha kwa mbwembwe zote..sasa nashanga..amerudi,tena kwa mbwebwe za kuomba msamahi,sms za sorry zinafululika kama mvua..had anajaza inbox yangu...Mwanaume hana haya huyu mana kasahau kashfa,na kibut alichonipa anarud mdogooo kuomba msamahaaaa....
Too bad kwake cz cwez kurudia matapishi yangu,aliniacha majestically na mbaya zaid janaume zima lilinidai vtu alivyonipa kwa nguvu zoote...bibye nlirudisha kila alichonidai kuepusha shari,nlikubaliana na maamuzi n nkamuv on na maisha yangu.. sa hv anajifanya kuomba msamaha cjui yamemshinda nn huko
..my lovely dada wenzangu ucje kufanya mistake ya kumrudia mwanaume aliekukashfu,na kutangaza kila kona mlipoachana...hiyo ndo type ya wanaume wasio na msimamo..na ndo type ya wanaume wanaotangaza siri za ndan kwa ndugu na majiran..
Wanaume bhana...i cant u guyssss..your anothrr kabisssa...hahahaha
huyo ni mvulana bana ,hawezi kuwa mwanaume wa kweli aliyekamilika.

Ukiangalia story vizuri Si rahisi mwanaume aanze kukuacha then akadai vitu,ukidaiwa vitu kuna tatizo lililoanzishwa na huyu girl na mara nyingi Ni kuanza kutoka na mtu mwingine kwa siri na huyu Jamaa kuwa backup,experience inaonyesha wote wanaodaiwa Ndo walianza / wanaoanza cheating, I remain to be corrected
ndiyo umdai vitu ulivyompa ,umaskini wa akili huo.

Piga chini huyo....ulambe matapish umekuwa paka weye?
Mimi ni mwanaume ila kulamba matapish ni nehi! kama mlishindwana mwanzo ,mtawezana vipi tena? tena mambo yenyewe ndiyo yalikuwa kwa mbwembwe zote.
 
Shosti poleeeee! So ukarudisha kabisaaaaaaaaa! Thubutu yangu!!!!!!!!!!! Labda aanze kunirudishia Uroda wangu wote niliompa!!!!!!!!!! NYAMAFFFFFFFFFFF KABISA!!!!!!!!!!!! Sirudishi hata aje anidai na Mdundiko!!!!!! Kiendacho kwa mganga hakirudi bibi wewe!!!!!!!!!

Akitaka akafungu jalada la madai mahakama ya mwanzo!!!!!!!

alishamegwa huyooo...utamu arudishe kibipi kwani raha alipata mwenyewe tuu....u really need to change hii mentality yenu ya kudhani kuwa sie pekee ndio twapata raha....
 
Shosti poleeeee! So ukarudisha kabisaaaaaaaaa! Thubutu yangu!!!!!!!!!!! Labda aanze kunirudishia Uroda wangu wote niliompa!!!!!!!!!! NYAMAFFFFFFFFFFF KABISA!!!!!!!!!!!! Sirudishi hata aje anidai na Mdundiko!!!!!! Kiendacho kwa mganga hakirudi bibi wewe!!!!!!!!!

Akitaka akafungu jalada la madai mahakama ya mwanzo!!!!!!!

mmh,mi alinishinda mana mwanaume aliniganda anadai utadhan tuliandikishiana..nkaona icwe tab,acjenipa mkoc kila material thngsss..nkamkusanyia had makeup alizonunua..sa cjui alitumia yy mwnyw au..hahaha yan ungemuona anavyojirudisha sa hv..afu mi cna tym..cz cjawai kupokea cm yake,text anatuma mda wote cjui hana kaz ya kufanya
 
mmh,mi alinishinda mana mwanaume aliniganda anadai utadhan tuliandikishiana..nkaona icwe tab,acjenipa mkoc kila material thngsss..nkamkusanyia had makeup alizonunua..sa cjui alitumia yy mwnyw au..hahaha yan ungemuona anavyojirudisha sa hv..afu mi cna tym..cz cjawai kupokea cm yake,text anatuma mda wote cjui hana kaz ya kufanya

mhm hapa ndio unapoji contradict...huna tym nae wakati unakuja hapa kumuongelea loh!! wanawake bwana unamkandia mwenzio tafikiria hujawai kumvulia chupi!!! ama kweli mwanamke ni wakugegeda na kusepa
 
Back
Top Bottom