Recent content by Lipuma mnyitanana

  1. Lipuma mnyitanana

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    kwanza nianze kwa kuwapongeza baadhi ya wafanyakazi wanatambua wajibu wao kwaba wapo pale kwaajili ya nini?lakini pia naomba nielekeze kero yangu idara ya mikopo branch ya mafinga watumliotuwekea pale sidhani kama wanafahamu wajibu wao mm nijuavyo mkopo ni biashara lakiniwao nadhani wanaona kama...
  2. Lipuma mnyitanana

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    mm nilikuwa na mtaji kidogo na nimeipenda hiyo biashara ya kukopesha naomba elimu ya kuandaa mifumo ya riba kama ulivyo ainisha hapo kuwa kuna ya siku ,wiki na mwezi nahisi mkinisaidia nitaweza kufanya pamoja na kuwa na majukumu mengine vip kuhusu kusajili line?
  3. Lipuma mnyitanana

    Website ya NACTE haifunguki

    vpi kuhusu majina ya second selection maana tunaona kuna ukimya kwa mwenye taarifa tujuzane wadau
  4. Lipuma mnyitanana

    Manji sema usiposema...

    natamani tungewapata wajuzi wa namna sale za jeshi la wananchi zinavyo patikana ili tuweze kuwa na uelewa mpana namna ya kuhoji kesi inayo mkabili ndug manji
  5. Lipuma mnyitanana

    Nimeshangazwa na gazeti la Mwananchi kutoandika habari ya Polisi kuua majambazi Kibiti

    inawezekana wao waliona imekuwa headline kwa kila chombo cha habari na wakaona waje na habari kuu mpya kumbuka waliilipoti tarifa hiyo ya kuuwawa kwa majambazi tangu sku ileile ya tukio na kumbuka kunabaadhi ya wadau walihoji juu ya weledi wa waandishi wa gazeti hilo kuripoti taarifa ambazo...
  6. Lipuma mnyitanana

    Orodha ya watumishi waliohakikiwa

    mkoa wa iringa jamani tunaombeni
  7. Lipuma mnyitanana

    Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

    farhia middle kamntu anaboa sana ana misifa amekosa personal idendity
  8. Lipuma mnyitanana

    Vifo vya Wanafunzi Arusha: TBC mmetutia Aibu kubwa

    lkn walikuwa wameahidi kuonesha mwanzo mwisho lkn sasahiv naona wako UBU is it fair?
  9. Lipuma mnyitanana

    ushauri na tiba

    karibuni wataalam kwa ushauri
  10. Lipuma mnyitanana

    ushauri na tiba

    habar wana jf naombeni msaada ninakijana wangu anaumri wa miaka 13 anakojoa sana kitandani nini tatizo?jenini matibabu yake?
  11. Lipuma mnyitanana

    TTCL waja na toboa bando

    laini zao zinapatikanaje na je huo mtandao wao uko maeneo mengi?
  12. Lipuma mnyitanana

    Who owns Mlimani City?

    nimekupata
Back
Top Bottom