Orodha ya watumishi waliohakikiwa

Orodha ya watumishi waliohakikiwa

wadau majina haya mnayachukulia source ipi.ili na sisi tuweze kutembelea huko.badala ya kuomba kuwekewa hapa jamvini
 
Cjui kwanini wadau hawataki kutuma link hiyo ili tuyapate wote. Mi nimeyatafuta wizara zote siyaoni
 
Kuna orodha imetolewa ya watu waliohakikiwa kila mkoa , ila cha ajabu kunawatu walihakikikiwa lakini majina yao hayamo na hawako upande wowote ( kwa kifupi wametoa majina yote waliyohakiki)
Ni kweli hata Mimi nimeshangaa sana kutokuona jina langu upande wowote yani hata sielewi...
 
Nimepata orodha ya watumishi waliohakikiwa kwa mkoa wa Pwani pekee, orodha kama hii ya mikoa mingine zinapatikana wapi?
Mwenyezi ufahamu juu ya suala hili naomba kufahamishwa pia au aliyenazo naomba aweke hapa Specifically ya Mkoa wa Kagera na Kilimanjaro.
Yako wapi au ni kudanganyana ili kurushana roho!!!!
 
Back
Top Bottom