Mzee hii analysis yako unaeza ikuta CNN na Al Jazeera huko, huku bongo concentration ipo kwenye maelezo ya huyo mama. Kujua kaingiaje hapo tena na bango alafu yeye mwenyewe tu.
Kudadadeki, Nimeipenda hii.
Wanacheza tu na akili za waTz.
Ina maana hao maaskali wameshindwa kuwataja watu wanaowasaidia?? Ina maana intel imeshindwa kutuletea mapapa ina leta hawa kajamba nani??
Hizi ni kiki zisizokua na tija
Tatizo la TANESCO halipo kwako wao TANESCO......wapiga dili na wezi wa nchii ndio wanalifilisi hili shirika. Mungu atusaidie tu, hakuna rais anaeingia madarakani bila kugusa TANESCO kwa kheri au shari.
Tusiilaumu TANESCO jamani....huu mfumo wa kujua upo tena ni CANCER hapa nchini kwetu.
Tunashadadia kwa kua humu ndani mpo mlioingia wa memo kutoka juu na mpo mlioingia kwa kudra za mwenyezi MUNGU.
Watakukebehi sana humu kwa ajiri ya huu UZI....ila ulioyasema tutayaona tu.
Ukipata nafasi muda mwingine ebu connect dots za huyo jamaa kupewa hicho cheo na kuachwa mjini.
"Wewe unapolalamika unaenda kwao, sisi tunawaita wanakuja tulipo, unajihangaisha"
Kama hiyo story ni kweli, basi jeshi la police vyema likajitathimini.
Uimara wa intelijensia katika nchi inategemea mambo mengi ila kwangu naona mambo makubwa mawili.
1. Uzalendo wa hali ya juu.
2. Nguvu ya kiuchumi.
Ukiangalia hizo nchi ulizoainisha kua zipo juu kiintelijensia, angalia uzalendo wa watu wake na vyombo vyake vya ulizi na usalama upo juu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.