Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......

Wa kanda huyo mwenzetu hawezi kuondolewa........jibu liko wazi hakuna kuuliza
 
vodacom haitoi vocha kwa staff wake wote..

wanaopewa vocha vodacom ni wale wa position ambazo hata wangekuwa tanesco wangepewa vocha.. hiii ni fact no 1.

pili tanesco inajiendesha kwa hasara... naomba
unitajie shirika au kampuni yeyote inayotoa huduma bure kwa staff wake kipindi ambapo inapata hasara..

nataka tujenge hoja kwa facts..


je voda inatoa vocha kwa staffs wake wote kisa ni wafanyakazi wa voda au wanapewa vocha wale tu wenye majukumu yanayohitaji kuwekewa vocha???
naomba ulijibu hili swali usikimbie wala kupiga chenga chenga

uje na facts voda nani anapewa vocha nami nije na facts za tanesco..
Hilo la bonus kwa kweli ni kituko kama si kichekesho...for what?
Nasikia walikuwa wana set lower targets na ukisi meet unapewa bonus...yani zile OPRAS zile ndio kigezo cha bonus...haya mashirika ya umma haya...ni shida...toka enzi za mwalimu....wanajiamulia amulia tu mambo...bonus gani kwa shirika ambalo halijawai kuendeshwa kwa faida?
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

hata ingekuwa mimi rais shirika la kuanza nalo lilikuwa tanesco... ningetimua hadi mfagiaji.. hakuna ambaye angebaki..

mtu wateja wote wako.. huna mshindani na bado unapata hasara.. kina voda na tigo wanagombea wateja ila wanapata faida... tanesco inalelewa sana

Ivi unajifanya ujui maamuzi ya mikataba ya tanesko yanatoka ikulu toka miaka ya tisini. Unajifanya ujui kina na bodi yote ya tanesco awana ubavu wa kupinga maelekezo kutoka ikulu. Unafiki ni mbaya sana
 
wewe utakuwa unafanyakazi IPP
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
 
mleta mada hayo yote uliyoleta ni porojo tupu sisi tunachotaka umeme usipande tu!! awe amewachota wenzie au kawageuka wenzie watujua wao hukohuko na siasa zao sisi kwetu umeme ushuke tu...
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

hata ingekuwa mimi rais shirika la kuanza nalo lilikuwa tanesco... ningetimua hadi mfagiaji.. hakuna ambaye angebaki..

mtu wateja wote wako.. huna mshindani na bado unapata hasara.. kina voda na tigo wanagombea wateja ila wanapata faida... tanesco inalelewa sana
Tatizo la TANESCO halipo kwako wao TANESCO......wapiga dili na wezi wa nchii ndio wanalifilisi hili shirika. Mungu atusaidie tu, hakuna rais anaeingia madarakani bila kugusa TANESCO kwa kheri au shari.
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Ukiwa Profesa kila unalolifanya, kusema au kufikiri ni sawa!!! Hakuna mtu wa kuhoji
 
Hilo la bonus kwa kweli ni kituko kama si kichekesho...for what?
Nasikia walikuwa wana set lower targets na ukisi meet unapewa bonus...yani zile OPRAS zile ndio kigezo cha bonus...haya mashirika ya umma haya...ni shida...toka enzi za mwalimu....wanajiamulia amulia tu mambo...bonus gani kwa shirika ambalo halijawai kuendeshwa kwa faida?

Tanesco ni mkusanyiko wa makampuni matatu tofauti
Hivyo huwezi kuangalia perfomance kwa faida na hasara tu
hata kueneza umeme nayo ni perfomance
kutoka 17 percent ya watanzania hadi 40 percent kwa kushirikiana na REA nayo ni mafanikio
Kama wahasibu wanapewa bonus based na kukusanya madeni huwezi sema simply hawastahili
kisa eti shirika halipati faida....
kama Meneja wa Tabora amepewa bonus kwa kuhakikisha Tabora yote hakuna wizi wa umeme
huwezi sema hastahili bonus eti sababu shirika halipati faida

Tanesco haipati faida sababu ya mikataba ya IPTL na Symbion ambayo imesainiwa na kulindwa
na serikali kuu...na mawaziri...sio Management ya Tanesco iliyosuggest wala kusaini mikataba hiyo
 
Ivi unajifanya ujui maamuzi ya mikataba ya tanesko yanatoka ikulu toka miaka ya tisini. Unajifanya ujui kina na bodi yote ya tanesco awana ubavu wa kupinga maelekezo kutoka ikulu. Unafiki ni mbaya sana


Wanajitoa ufahamu
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

hata ingekuwa mimi rais shirika la kuanza nalo lilikuwa tanesco... ningetimua hadi mfagiaji.. hakuna ambaye angebaki..

mtu wateja wote wako.. huna mshindani na bado unapata hasara.. kina voda na tigo wanagombea wateja ila wanapata faida... tanesco inalelewa sana
Mleta mada anamatatizo binafsi na waziri.

Hivi shirika lisipo perform anafukizwa waziri?

Ni mkataba gani wa tanesco muhongo kaidhinisha au kasaini?

Nijuavyo muhongo anahangaika kutafuta pesa za REA na za vinu vya uzalishaji umeme katika mazingira magumu sana.

Kupitia muhongo bomba la gesi. Kinyerezi 1 na 2 vimepatikana.

Hata alipoenda likizo ya ESCROW Simbachawene alishindwa kumalizia miradi ya REA hadi nguzo zikapikiwa makande.

Mnataka mtu wa aina gani?
Wanasema asiejua maana haambiwi maana
 
Mleta mada anamatatizo binafsi na waziri.

Hivi shirika lisipo perform anafukizwa waziri?

Ni mkataba gani wa tanesco muhongo kaidhinisha au kasaini?

Nijuavyo muhongo anahangaika kutafuta pesa za REA na za vinu vya uzalishaji umeme katika mazingira magumu sana.

Kupitia muhongo bomba la gesi. Kinyerezi 1 na 2 vimepatikana.

Hata alipoenda likizo ya ESCROW Simbachawene alishindwa kumalizia miradi ya REA hadi nguzo zikapikiwa makande.

Mnataka mtu wa aina gani?

Ujuavyo wewe?
kumbe na wewe mtupu kabisa?

Muhongo anatafuta hela za REA?
hujui pesa za REA zinapotoka?
wala hujui huyo ,Muhongo aliikuta REA tayari imeanza kazi?

Wewe ndo mbumbu mwingine unakuja kujaza sever humu
 
Ivi unajifanya ujui maamuzi ya mikataba ya tanesko yanatoka ikulu toka miaka ya tisini. Unajifanya ujui kina na bodi yote ya tanesco awana ubavu wa kupinga maelekezo kutoka ikulu. Unafiki ni mbaya sana
Je muhongo alihusika au anahusika?

Na huyo bosi wa tanesco asipokubaliana na maamuzi ya ikulu si angejiuzuru?

Ikulu ikiamua kwa niaba yako na wewe ikakubali umeamua wewe na itakula kwako. Unatakiwa UKATAE.
 
Ujuavyo wewe?
kumbe na wewe mtupu kabisa?

Muhongo anatafuta hela za REA?
hujui pesa za REA zinapotoka?
wala hujui huyo ,Muhongo aliikuta REA tayari imeanza kazi?

Wewe ndo mbumbu mwingine unakuja kujaza sever humu
Hacha hoja dhaifu. Ni kipindi kipi REA ili perfom kuliko vipindi vyote kama siyo awamu za uongozi wa muhongo?

Lini financing ya REA ilivuka 2Mn USD kama siyo kipindi cha muhongo?

Mbona hatukuona kasi ya usambazaji umeme vijijini kipindi cha Ngereja na Simbachawene kama ilivyo kwa muhongo.

Pia tanesco ya muhongo na ngereja ipi haina mgao wa umeme na ipi imeongeza uwekezaji wa assets za shirika.

Msimtwishe muhongo mizigo aliyoikuta. Mpeni hukumu sahihi kwa aliyoyafanya. Siyo mikataba ya Karamagi mnamtwisha muhongo.

Acheni siasa chafu.
 
Je muhongo alihusika au anahusika?

Na huyo bosi wa tanesco asipokubaliana na maamuzi ya ikulu si angejiuzuru?

Ikulu ikiamua kwa niaba yako na wewe ikakubali umeamua wewe na itakula kwako. Unatakiwa UKATAE.

Kwaiyo unategemea na maraisi wajiwajibishe wakati maraisi wenyewe awataki hata mikataba ijadiliwe bungeni. Unafiki unafiki ni mbaya sana. Nambea ndugu yako augue ugonjwa mbaya sana apelekwe kwenye izo hospitali za serekali ndio tuone unafikiwako unakusaidiaje
 
Back
Top Bottom