makonda yupo usaNdege wawili huruka pamoja katika wakuu wa wilaya wote hapa dar huyo hapi ndo jamaa yake sana makonda
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
kweli kikore dendelua ni moja ya pombe za asili ya Kitanzania yenye heshima sana.... Dengelua not Dengerua... Hii ni Pombe ya heshima aisee...
Heshima kwenu wana Jf, nikiwa naangalia taarifa ya habari ITV leo saa mbili jioni, nimemwona mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Ally Hapi akiwapongeza Zantel kwa kulipa deni la Ml300, hapo hapo mtangazaji akimwita "kaimu mkuu wa mkoa wa dar es salaam." Mwenye kujua atujuze sababu ya Mh Paul Makonda kukaimiwa, au yupo likizo? Natanguliza shukrani.
Kwa mfano nani angekaimu nafasi hiyo hapo DSM ukiondoa RC wa pwaniSeniority has no mashiko, mimi ni mtu mdogo nakaimu post kubwa tu ofisini na kuna wakongwe kibao.
Watu wanaangalia braiiiiin yako tu
Hakunaga mkuu wa mkoa wa, karibu yake mkuuWadau samahanini.
Kwani mkuu wa mkoa si hua anakaimiwa na mkuu wa mkoa wa karibu yake au nimechanganya hii mambo??
Please msaada hapo.
... Dengelua not Dengerua... Hii ni Pombe ya heshima aisee...Kwa kawaida RC akiwa safari au likizo kuna DC mmoja wapo huwa ana kaimu nafasi hiyo. Lakini ni yule Senior zaidi ya wengine na sidhani kama Hapi ni senior kwa wengine waliopo. Mambo yanakwenda shagalabagala sasa hivi kama club ya pombe ya Wanzuki au dengerua
... Ilo nilo idi Ambiere...kweli kikore dendelua ni moja ya pombe za asili ya Kitanzania yenye heshima sana.
Hichi ndicho nilichokua naelewa kua mkuu wa mkoa flani akiwa nje ya ofisi basi mwenzake wa karibu anakaimu. Hii ya DC nilikua sifahamu.Mbona wakati wa awamu ya nne Mhe Melsadick akiwa mkuu wa mkoa wa Lindi aliwahi kukaimu mkuu wa mkoa wa Dar?
Happi ndo anafaa na ndie aliyekaimuKwa mfano nani angekaimu nafasi hiyo hapo DSM ukiondoa RC wa pwani

Hapi anakaim kwa sababu ana uwezo mkubwa kiutendaji. makonda anakaimiwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wakeHeshima kwenu wana Jf, nikiwa naangalia taarifa ya habari ITV leo saa mbili jioni, nimemwona mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Ally Hapi akiwapongeza Zantel kwa kulipa deni la Ml300, hapo hapo mtangazaji akimwita "kaimu mkuu wa mkoa wa dar es salaam." Mwenye kujua atujuze sababu ya Mh Paul Makonda kukaimiwa, au yupo likizo? Natanguliza shukrani.
Swali hapa ni sababu ya Mkuu wa mkoa kukaimiwa, hatakama angekuwa amekaimiwa na mtu yeyote, nini hasa sababu ya yeye kukaimiwa? je anaumwa?, ama yuko likizo? just curious.