njujujr
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 684
- 468
Huamini kijana wa Arusha kati ya 10 tisa wanawaza demu wa kizungu wakiwaza watatoboa maisha bangi zao zinavyowatuma.Arusha hii hii yenye bangi kali? Siwezi kuamini.
Huamini kijana wa Arusha kati ya 10 tisa wanawaza demu wa kizungu wakiwaza watatoboa maisha bangi zao zinavyowatuma.Arusha hii hii yenye bangi kali? Siwezi kuamini.
Tueleweshe kwa faida ya wengiWajamaica waliwala sana maajuza, walishtuka wanajikuta wako wanna wanamtunza kijana mmoja
Aliyeelewa anisaidieWajamaica waliwala sana maajuza, walishtuka wanajikuta wako wanna wanamtunza kijana mmoja
Huamini kijana wa Arusha kati ya 10 tisa wanawaza demu wa kizungu wakiwaza watatoboa maisha bangi zao zinavyowatuma.
Mm nawaza nalifanyia nn taifa na kutimiza jukumu hata moja ili mchango wangu uwepo kwa taifa langu kila siku iendayo kwa mungu.Acha wawaze hao mademu kila mtu anatoboa kivyake.
Wewe unawaza mademu wa kihutu?
Basi usitake kila mmoja awazie taifa, wewe timiza malengo yako tulia.Mm nawaza nalifanyia nn taifa na kutimiza jukumu hata moja ili mchango wangu uwepo kwa taifa langu kila siku iendayo kwa mungu.
Daaah wale ni shida mkuuMambo ya wagambia hayo
Menopause c imetamalaki hapa
Aliyeelewa anisaidie
Hahaaa shida yao kubwa ni kununuliwa gari la utalii,huwezi kuta mdada wa kizungu mwenye pesa nyingi labda atoke familia yenye uwezo.Hali ni mbaya mno Arusha mjini.
Ifike mahala sasa hawa vijana wetu tuwakumbushe kuna option B ya Maisha .
Wamekosa uwoga kabisa , kijana wa Rika la 20's unamkuta mnara wa saa pale au maeneo ya shoppers anakomkongoja Ajuza wake wa 70s bila haya usoni.
Hali ni mbaya.
Hali ni mbaya mno Arusha mjini.
Ifike mahala sasa hawa vijana wetu tuwakumbushe kuna option B ya Maisha .
Wamekosa uwoga kabisa , kijana wa Rika la 20's unamkuta mnara wa saa pale au maeneo ya shoppers anakomkongoja Ajuza wake wa 70s bila haya usoni.
Hali ni mbaya.
Hawa ndo baadae wanaperekwa ughaibuni na hivyo vibibi. Wakifika huko vibibi vinawatelekeza mwisho wa siku wanaishia kuolewa na wanaume wenzao
Kwanini huamini wakati matokeo ya bangi Kali yanaonekana?Arusha hii hii yenye bangi kali? Siwezi kuamini.
Ha ha ha wanaume wa mkoani wanatafuta kitonga...
Haya ndo matunda ya kutawaliwa na CCM
Na wewe kaoe kibibi kimoja Norway utoke nao ngoma drawVijana wengi wa arusha ndoto zao ni kuwa na watasha sio wanaume sio mabinti tena vibabu.
Mimi na dada zangu wawili mmoja kaolewa na babu wanaishi swedeni mwingine na babu wanaishi bongo kiukweli sipo comfortable na hizo couple kwakweli.