Recent content by Leodgard

  1. L

    Tamasha la Fiesta: RC Dodoma apokelewa kwa vidole viwili!

    Huyu RC atakuwa amenyoa kuduku" anaenda kwenye ngOma za watoto??? Bogaz government !!!
  2. L

    Wawekezaji waanza kujiondoa Tanzania

    Waondoke tuuuuuuu! Wanyonyaji hao
  3. L

    Mhariri Mtanzania: Kwa siasa za shari, CHADEMA kinajifuta; marehemu alikuwa akiifanyia kazi CHADEMA

    Mwandishi huyu ni BOGAZI KABSAAA!!!anataka kufifisha harakati za mabadiliko!! Shame of you bro!!
  4. L

    Rufaa Igunga: Kafumu atofautiana na CCM

    Wataumbuka Kama kule Arumeru Mashariki
  5. L

    Mwigulu aendelea kufunika Igunga

    Hakuna kitu!! Wametokota!!
  6. L

    Nimrod Mkono aitisha CCM

    Wakanyagane tuu!! Vita vya panzi furaha kwa kunguru!!!
  7. L

    Baraza kuu UVCCM wailaani CHADEMA kwa siasa za fujo na mauaji; Je, ni sawa?

    Mbona hawajaanza kujilaani wao kwa kuwatumia polisi ccm KUUA raia???
  8. L

    CHADEMA wapelekana kortini

    Mapandikizi ya ccm hayo!!!
  9. L

    Viongozi wa vyama vya siasa muungane mtoe tamko la pamoja kuitaka serikali iwajibike

    HAPA wakutoa tamko ni CHadema tu! WENGINE ndoa inawatafuna hawawezi kuvunja ndoa yao'!!
  10. L

    IGP Chonde chonde ujinga huu usitokee Mbeya!!

    Arusha NDIO kabisaaaa!!!! Wasijaribu!!
  11. L

    Dawa ya mwanamke anayeng’ang’ania kutaka kuonja penzi la mkeo?

    Mpatie HAKI yake!! Tena kisawasawa!!!
  12. L

    Unaweza kudhani unayajua mapenzi, kumbe ni kinyume chake... Jifunze kwa huyu...!

    Mpenzi wake amemwekea mtego !! Kutawazana duuuh!! Hapo nitasepa Mimi!!
  13. L

    PICHA: Lema akiwa Jijini London akikagua chopa jipya la M4C

    Safi sana!! M4C choper!!
  14. L

    Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

    Sio uhuni!! Sehemu ya kupotezea stress za juma zima!!
Back
Top Bottom