Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

Ili tuweze kutoa majibu sahihi, tuwe na base moja ya ku-hinge arguments zetu. Let first define what is uhuni, then from there we will reach a valid conclusion. For example if I ask you: Is a whale a fish? You will first have define what are the characteristics of a fish and a whale -define the two terms!

Wakati nasoma kichwa cha habari kuhusu hii thread...swali langu la kwanza nililotaka kuuliza ni hilo "uhuni ni kitu gani?"
 
Anachart na simu? Kwanini hukumnasa kibao? Ungemnasa kibao angetambua kosa lake na asingerudia tena.

Tukija kwenye thread, to me kwenda club au bar sio uhuni ni kula gudtime tu

Inategemea unaishi kijiji gani! Jumapili kwenye ibada nilikaa na mdada kanisani yuko busy anachat kwenye bbm!
 
I'm neither a grammarian nor grammar police but your grammar and syntax suck.
You guy, nilikwambia jana kuwa I dont need to go into the rules of English before posting anything in this forum. Sina haja ya ku-proof read as long as my message is understood. Typing error and oversights are minor when making a post here. Nimekwambia mimi ni pure scientist hatujifunzi lugha!!! penguin!!!
 
tabai ya kwenda club na bar ndiyo iliyosababisha mchumba wake wa awali amuache.
Tabia ya kwenda bar au club si uhuni, ila jamii inachukulia ni uhuni kwani mwisho wa starehe huko bar au club ni matendo ya kihuni.
Upande wa pili hii ni tabia tegemezi, ukianzasha tu kwenda club ni vigumu kuacha tabia hii. Hata kama utakosa pesa, utatafuta tu ili weekend uende club.


hakuwa na tabia hiyo, bali alianza kwenda bar/club baaba ya kuwa ameachwa..........
 
kujibu swali la thread
hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
uta react vipi?
 
Anachart na simu? Kwanini hukumnasa kibao? Ungemnasa kibao angetambua kosa lake na asingerudia tena.

Umnase kibao imekuhusu na kitu gani?

Kosa lake ni lipi hata alitambue akinaswa kibao? Sana sana angetambua kosa lako wewe la kuingilia uhuru wake binafsi
 
Back
Top Bottom