Ili tuweze kutoa majibu sahihi, tuwe na base moja ya ku-hinge arguments zetu. Let first define what is uhuni, then from there we will reach a valid conclusion. For example if I ask you: Is a whale a fish? You will first have define what are the characteristics of a fish and a whale -define the two terms!
Wakati nasoma kichwa cha habari kuhusu hii thread...swali langu la kwanza nililotaka kuuliza ni hilo "uhuni ni kitu gani?"