Hivi aliyeandika makala haya ana akili timamu au ni zuzu?
Huyu mleta maada anazungumzia vyama vipi vya siasa? au anamaanisha CUF, NCCR, TLP, UDP, CHADEMA, CCM na vinginevyo?oa
Ukit CDM hapo hao wengine ni AGENT WA CCM sasa watoe matamko yapi? na matamko yanatosha kinacho bakia ni vitendo tu