Hata mimi ningekuwepo ningekwenda, nani hataki fulana ya bure na kafia?
Ila ukweli unaujua.
Now you are talking......
Koffie!
Wee subiri M4C itakapotembelea hiyi mitaa uone tutakavyo mchana na kumchakaza huyo kibaraka wako!
hao ni wakununuliwa sisi M4C hatuna presha kuku wako mwenyewe wa nn kumshikia manati
Mfa maji!
wewe gamba,hebu fuatilia garama zinazotumia watu kuja kwenye mikutani kama hiyo,mmelaaniwa mnatumia umaskini wa watu ili muendelee kuwaibia.hapo watu lazima wemekula ubwabwa na elfu mbili na taarabu ya mzee yusufu inawaburudisha,
kifafa cha hisia kunakusumbua.kinachowasumbua CDM ni umaskini na njaa zenu,subirini siku mkichukua hii nchi ninayoyasema watz watayaona!
ukiangalia hizo kofia na vilemba utagundua kuwa kulikuwa na prior meeting na hawa watu before this move......dirty monies zinafanya kaziccm. .......ccm.......ccm. Hayo ndio maneno. Wameonesha furaha yao..... Kumbe kweli majimbo mengine ni ya ccm tu hata iweje
![]()
![]()