Za saa hizi wadau,
natumia Tecno phantom 6 plus, tokea jana simu inagoma kabisa kuconnect na net ila kwenye watsap tu... ila.nikifanya tethering watsap inafanya kazi poa tuu ...
Ila nikiwasha data kila kitu kiko poa whatsap inaniandikia you may have new messages lakin msg...
Habari za jion, naomba kujua jinsi ya kulipia huduma online, especially kama kama service yenyewe iko china,.marekani nk....
Nimejaribu kutumia card zangu za benki ila zinakataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.