Recent content by latif 481

  1. L

    Msikiti wa posta na ubaguzi??

    Wewe unataka nijibu vipi, kwa kuwa umeuliza ambacho huna uhakika nacho na jibu utakalolipata vile vile utakuwa huna uhakika nalo
  2. L

    Msikiti wa posta na ubaguzi??

    Nahisi hata ikikaa nyuma kwako utaiona
  3. L

    Msikiti wa posta na ubaguzi??

    Wewe Kiranga, nahisi una matatizo ya kiakili kwa sababu hayo maswali yako hayana mantiki
  4. L

    Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

    Hilo kweli ni waoga sana
  5. L

    TPDF ranks position 27 in the World!

    Huyo jamaa anajifanya anaipenda jw, hatuambii Sudan jinsi wanavyofanywa na janjawiri
  6. L

    'Who created God' is an Illogical Question!

    Sio kweli kabisa, ukiingia ndani kabisa mwa falsafa unakuta wakati mwengine Kuna mambo mengine ni yapo Lakin huwezi ukasense kwa kutumia hizo five organs. Kwenye empirical knowledge (source of knowledge through sense organs) inathibitisha kwamba hizi sense organs zina limitation yake, kwa mfano...
  7. L

    Nilimpenda sana mwalimu wangu wa sekondari, lakini kwa alichonifanyia sitompenda tena mwalimu yeyote

    Kweli bro hazitoki kipumbavu, labda huyo jamaa ni chapute kwa sababu hamna tofauti na mpiga nyeto
  8. L

    Nilimpenda sana mwalimu wangu wa sekondari, lakini kwa alichonifanyia sitompenda tena mwalimu yeyote

    Mbona kaandika vizuri na tumemuelewa nini alichokusudia. Lakin Kuna kitu kimoja kiliweza kusababisha usielewe, tatizo weye sio mswahili
  9. L

    'Who created God' is an Illogical Question!

    Kiranga hana hoja ila Kuna kitu anatafuta, sio kama haamin uwepo wa Mungu ila anatafuta hoja za kubishana na watu
  10. L

    'Who created God' is an Illogical Question!

    Utasilimu vipi wakati huamin Mungu, na usinitajie vinyaa hapa, wewe unaona Zanzibar Kuna wanawake wakuoa mtu mpumbavu kama wewe, labda uolewe
  11. L

    'Who created God' is an Illogical Question!

    Wewe kiranga sio kama huamin Mungu yupo, Lakin Kuna kitu wakitaka, tafadhali njoo huku Zanzibar utakipata na utafurahi nafsi ako
  12. L

    TPDF ranks position 27 in the World!

    Si sawa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. L

    TPDF ranks position 27 in the World!

    Wewe unafikir nini, au unaweza kuniambia makabila yaliokuwepo pemba
  14. L

    TPDF ranks position 27 in the World!

    Sawa Mtanganyika nimekuskia, ndo maana wazanzibar hatutaki kuwa na nyinyi, mko tofauti, sijui Nyerere aliona nini
Back
Top Bottom