Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Hii ya kukopeshwa tsh 350/- kwa siku sijaelewa
Hata chapati na chai haitoshi


Heslb wameonesha dharau kubwa sana kwa watanzania.

Eti mkopo wa 350 kwa siku! ama kweli nchi hii matahira ni wengi sana!

Hizi hadithi za kubana matumizi, pesa zinaenda wapi? mbona hatuoni improvement ya huduma kwa wananchi?

-Kaveli-
 
Tatizo siyo mvaaji. Tatizo ni mnunuzi wa hicho kiatu. Wewe unavaa kiatu namba 8 sasa unalazimishwa uvae namba 12. Una mawazo mazuri sana ya kukifanya kiatu chako kipungue angalau kifikie namba tisa hivi lakini aliyekununulia hataki ukiguse kwa sababu hajaribiwi na hataki kusikia mawazo yako. Basi unajikaza tu na kushindilia matambara ili uendelee kukivaa na kumridhisha aliyekununulia. Vinginevyo ukiona matambara yana-disfigure vidole vyako na kukufanya utembee kwa shida kama mkoma kiasi cha kuchekwa na jamii basi kirudishe kiatu hicho kwa mwenyewe au kibadilishe namba kutoka 12 unayolazimishwa kuivaa mpaka 8 unayoipendelea bila ruhusa liwalo na liwe!

Wavaaji wa viatu hivi safari hii mtawaonea tu lakini kusema kweli aliyewanunulia wanamwogopa mno na wengi wamevivaa kwa woga na japo wanaumia vidole na miguu wengi wanajikaza tu hivyo hivyo. Safari ni lazima iendelee ati!
Huyu mama pale yupo kama remote control
 
Kele za chura,chadema kila MTU mbaya,watu mnalalamika na Julia lia kila siku
 
Nikikumbuka pasi ndefu, kushindia mihogo ya kukaanga ya kule ng'ox, kufukuzwa rum kisa sijalipa pesa ya accomodation na wkt bumu limechelewa, maji ya ku-download... etc nakosa cha kuandika yani acha tu mazee maisha ya chuo ni mateso
 
Siku anateuliwa kuongoza Wizara ya elimu (wizara ambayo ndiyo 'backbone' ya ustawi wa Taifa), nilifurahi sana. Nikajisemea moyoni kwamba sasa gari limepata 'suka' na safari itakuwa salama.

Safari ikaanza suka akiwa imara. Lakini kadri safari ilivyoendelea, nikagundua kuwa kumbe suka wetu ni 'deiwaka' tu, na sio 'profesheno' !

Akaanza ubabaishaji. Siku akalala akaota GPA ya 3.5... na kweli kesho yake tu rukwili ikapitishwa GPA ya 3.5! Nikajisemea moyoni... ohooo sasa suka kaanza kuacha reli, ngoja ni-fasten my belt kabisa mapema.

Haijaisha week, akalala akaota GPA ya 3.0... na kweli kesho yake tu rukwili GPA ya 3.0 ikapitishwa! Nikasema "toba, suka kaanza kupiga ramli kwenye safari yetu?!!"

Yote tisa.... kumi kwenye mikopo ya chuo! Hapa sasa ndiyo nimeconclude kuwa kumbe Wizara ya Elimu bado haina suka, bali deiwaka tu!

75% kukosa mkopo hii ni ajabu ya mwaka!

Mtoto wa maskini kapanda ngorika kutoka sitimbi kijijini kaja mjini kusoma chuo, eti anapewa mkopo wa Tsh. 77,000 ajikimu chuoni! Seriously kabisa Officer mzima yupo Heslb kwenye kiti cha kuzunguka ana-approve Tsh 77,000 kwa ajili ya mkopo wa mwanafunzi wa chuo??!! Hizi ni dharau kwakweli. Otherwise naanza kuamini ule utafiti kwamba nchi hii wengi wana matatizo ya akili. Heslb wanastahili wachapwe bakora nyingi sana kama mvua!

Tanzania inahitaji overhaul ya hali ya juu sana. La sivyo, dharau hizi za viongozi zitazidi kuwafanya wananchi waishi kama mashetani kweli.

Mama Ndali, absolutely sasa kiatu kinakupwaya! Ubabaishaji kwenye elimu ya nchi, Taifa mnaliweka bondi.

Mhe. Rais Magufuli anahitaji kuona Tanzania ya viwanda. Ni jambo jema sana. Ili kuifikia Tanzania ya viwanda, basi tuacheni siasa na ubabaishaji kwenye sekta ya Elimu.

-Kaveli-

masomo ya sayansi lazima kwa wanafunzi wote form 1 hadi form 4
 
Nikikumbuka pasi ndefu, kushindia mihogo ya kukaanga ya kule ng'ox, kufukuzwa rum kisa sijalipa pesa ya accomodation na wkt bumu limechelewa, maji ya ku-download... etc nakosa cha kuandika yani acha tu mazee maisha ya chuo ni mateso


Dooh, maisha ya chuo na boom la kubahatisha lazima upigike kinowma Mkuu.

-Kaveli-
 
mambo
Siku anateuliwa kuongoza Wizara ya elimu (wizara ambayo ndiyo 'backbone' ya ustawi wa Taifa), nilifurahi sana. Nikajisemea moyoni kwamba sasa gari limepata 'suka' na safari itakuwa salama.

Safari ikaanza suka akiwa imara. Lakini kadri safari ilivyoendelea, nikagundua kuwa kumbe suka wetu ni 'deiwaka' tu, na sio 'profesheno' !

Akaanza ubabaishaji. Siku akalala akaota GPA ya 3.5... na kweli kesho yake tu rukwili ikapitishwa GPA ya 3.5! Nikajisemea moyoni... ohooo sasa suka kaanza kuacha reli, ngoja ni-fasten my belt kabisa mapema.

Haijaisha week, akalala akaota GPA ya 3.0... na kweli kesho yake tu rukwili GPA ya 3.0 ikapitishwa! Nikasema "toba, suka kaanza kupiga ramli kwenye safari yetu?!!"

Yote tisa.... kumi kwenye mikopo ya chuo! Hapa sasa ndiyo nimeconclude kuwa kumbe Wizara ya Elimu bado haina suka, bali deiwaka tu!

75% kukosa mkopo hii ni ajabu ya mwaka!

Mtoto wa maskini kapanda ngorika kutoka sitimbi kijijini kaja mjini kusoma chuo, eti anapewa mkopo wa Tsh. 77,000 ajikimu chuoni! Seriously kabisa Officer mzima yupo Heslb kwenye kiti cha kuzunguka ana-approve Tsh 77,000 kwa ajili ya mkopo wa mwanafunzi wa chuo??!! Hizi ni dharau kwakweli. Otherwise naanza kuamini ule utafiti kwamba nchi hii wengi wana matatizo ya akili. Heslb wanastahili wachapwe bakora nyingi sana kama mvua!

Tanzania inahitaji overhaul ya hali ya juu sana. La sivyo, dharau hizi za viongozi zitazidi kuwafanya wananchi waishi kama mashetani kweli.

Mama Ndali, absolutely sasa kiatu kinakupwaya! Ubabaishaji kwenye elimu ya nchi, Taifa mnaliweka bondi.

Mhe. Rais Magufuli anahitaji kuona Tanzania ya viwanda. Ni jambo jema sana. Ili kuifikia Tanzania ya viwanda, basi tuacheni siasa na ubabaishaji kwenye sekta ya Elimu.

-Kaveli-
yanayofanyika siku hizi mpaka unaogopaaa,ule msemo wa waswahili kua unaweza kufanya dhambi mpaka shetani akaanza kukuogopa nimeanza kuona enzi hizi...Daaaaahhhh so sad 77000?mi nilifikiri wazee wa kucheza na mtandaoni,kumbe kweliiiiiii
 
Siku anateuliwa kuongoza Wizara ya elimu (wizara ambayo ndiyo 'backbone' ya ustawi wa Taifa), nilifurahi sana. Nikajisemea moyoni kwamba sasa gari limepata 'suka' na safari itakuwa salama.

Safari ikaanza suka akiwa imara. Lakini kadri safari ilivyoendelea, nikagundua kuwa kumbe suka wetu ni 'deiwaka' tu, na sio 'profesheno' !

Akaanza ubabaishaji. Siku akalala akaota GPA ya 3.5... na kweli kesho yake tu rukwili ikapitishwa GPA ya 3.5! Nikajisemea moyoni... ohooo sasa suka kaanza kuacha reli, ngoja ni-fasten my belt kabisa mapema.

Haijaisha week, akalala akaota GPA ya 3.0... na kweli kesho yake tu rukwili GPA ya 3.0 ikapitishwa! Nikasema "toba, suka kaanza kupiga ramli kwenye safari yetu?!!"

Yote tisa.... kumi kwenye mikopo ya chuo! Hapa sasa ndiyo nimeconclude kuwa kumbe Wizara ya Elimu bado haina suka, bali deiwaka tu!

75% kukosa mkopo hii ni ajabu ya mwaka!

Mtoto wa maskini kapanda ngorika kutoka sitimbi kijijini kaja mjini kusoma chuo, eti anapewa mkopo wa Tsh. 77,000 ajikimu chuoni! Seriously kabisa Officer mzima yupo Heslb kwenye kiti cha kuzunguka ana-approve Tsh 77,000 kwa ajili ya mkopo wa mwanafunzi wa chuo??!! Hizi ni dharau kwakweli. Otherwise naanza kuamini ule utafiti kwamba nchi hii wengi wana matatizo ya akili. Heslb wanastahili wachapwe bakora nyingi sana kama mvua!

Tanzania inahitaji overhaul ya hali ya juu sana. La sivyo, dharau hizi za viongozi zitazidi kuwafanya wananchi waishi kama mashetani kweli.

Mama Ndali, absolutely sasa kiatu kinakupwaya! Ubabaishaji kwenye elimu ya nchi, Taifa mnaliweka bondi.

Mhe. Rais Magufuli anahitaji kuona Tanzania ya viwanda. Ni jambo jema sana. Ili kuifikia Tanzania ya viwanda, basi tuacheni siasa na ubabaishaji kwenye sekta ya Elimu.

-Kaveli-
Maneno ya mkosaji!
 
Nachelea kusema,haya matatizo yoooooote katika TANZANIA YETU, yanaletwa na VISASI.
Hatuna mchawi yeyote hapa,wachawi ni sisi wenyewe na tabia zetu hizi.Sababu visasi huleta
1.Hofu
2.Kukosa umakini
3.Ubishi.
Hivi vitatu,huleta kuchelewa kwa maendeleo kama sio kukwama,chuki na matabaka baina yetu.
WACHAWI TUNAO HUMU HUMU
 
Wabongo hatuna akili ndo maana yesu, mtume. Manabii wote ni wazungu amna ata mbongo
Zaidi ya ugunduzi wa moto ambao sina hakika ,hatukuwahi kugundua chochote toka dunia imeumbwa,huwa naumia kusikia babu zetu walibadilisha almasi kwa gorori za mzungu
 
Zaidi ya ugunduzi wa moto ambao sina hakika ,hatukuwahi kugundua chochote toka dunia imeumbwa,huwa naumia kusikia babu zetu walibadilisha almasi kwa gorori za mzungu
hilo la kubadili almas kwa golori wala siwalaumu,hawakuwa na pa kuzipeleka wala matumizi mbadala
 
Tatizo siyo mvaaji. Tatizo ni mnunuzi wa hicho kiatu. Wewe unavaa kiatu namba 8 sasa unalazimishwa uvae namba 12. Una mawazo mazuri sana ya kukifanya kiatu chako kipungue angalau kifikie namba tisa hivi lakini aliyekununulia hataki ukiguse kwa sababu hajaribiwi na hataki kusikia mawazo yako. Basi unajikaza tu na kushindilia matambara ili uendelee kukivaa na kumridhisha aliyekununulia. Vinginevyo ukiona matambara yana-disfigure vidole vyako na kukufanya utembee kwa shida kama mkoma kiasi cha kuchekwa na jamii basi kirudishe kiatu hicho kwa mwenyewe au kibadilishe namba kutoka 12 unayolazimishwa kuivaa mpaka 8 unayoipendelea bila ruhusa liwalo na liwe!

Wavaaji wa viatu hivi safari hii mtawaonea tu lakini kusema kweli aliyewanunulia wanamwogopa mno na wengi wamevivaa kwa woga na japo wanaumia vidole na miguu wengi wanajikaza tu hivyo hivyo. Safari ni lazima iendelee ati!
Hilo kweli ni waoga sana
 
mambo

yanayofanyika siku hizi mpaka unaogopaaa,ule msemo wa waswahili kua unaweza kufanya dhambi mpaka shetani akaanza kukuogopa nimeanza kuona enzi hizi...Daaaaahhhh so sad 77000?mi nilifikiri wazee wa kucheza na mtandaoni,kumbe kweliiiiiii


Niaje Mkuu, hamjambo huko NIT?

Mkuu kipindi hiki kuna dhambi zinafanyika mpaka shetani mwenyewe anasubiri.

Naona sasa jahazi linakwenda mrama.

Ila kinachosikitisha zaidi ni kwamba hawa decision makers wenyewe waliweza kusoma kwa kutumia hiyo hiyo mikopo na kufika hapo walipo. Leo hii wanaamua kuwa ni 25% tu ndiyo wapate mkopo, mkopo wenyewe ni Tsh 77,000!!

Mimi mara nyingi sana huwa najiuliza swali hili: Hivi hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania?

-Kaveli-
 
Baada ya suka kuamka akatangaza '' wanafunzi wote wasome science''

Wanaosoma kipind cha awamu hii wana kazi ya ziada inabid wawe wapole tu sbb wanavyopenda sifa utatishiwa mpaka bastola ukisema ukweli.

VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI
Kiongozi amtishia traffic bastola
Mwalimu apigwishwa deki mbele za wanafunzi
Uhakiki bado unaendelea siku, zaongezwa ili kukamilisha zoezi.
Wanafunzi wa elimu ya juu walia na mikopo
 
Back
Top Bottom