Recent content by LASSYSON2010

  1. LASSYSON2010

    Mzee wa Upako alimtabiria Raila ODINGA angeshinda uchaguzi

    Hayo yalikuwa mawazo yake na c ya Mungu, viongozi wa dini tuwe makini na kauli zetu, kama ni Mungu kasema na ukiwa na uhakika sema, la sivyo just stay silent au hubiri mambo mengine!
  2. LASSYSON2010

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Namtetea Dr kwa uwezo wake mkubwa wa kujibu maswali, utendaji wake na utetezi wake dhidi ya watu wa chini/ maslahi ya umma, ni kiongozi mzuri
  3. LASSYSON2010

    Polisi: Maandamano ya Novemba 26 marufuku!

    Kweli hili swali inabidi lichukulewe maanani maana hata hasasi zisizo za kiserikali na watanzania kwa ujumla wanaona umuhimu wa katiba mpya.Tunaomba serikali yetu inayotumia jeshi la polisi kama silaha yao waache vitisho mara moja.Unity 4ever
  4. LASSYSON2010

    Ajali Ubungo Riverside

    May the soul of the faithful departed rest in peace, Amen
  5. LASSYSON2010

    UDSM kimenuka sasa hivi, Kikwete na Kawambwa Wataficha wapi nyuso zao?

    Kwa kweli taifa limebaki jina kutokana na walio na madaraka kuendesha kama vile sisi ni wanyama, nataka kusema wananchi tuinuke na kuwa majasiri ktk kutetea haki na kukataa uongozi uliopo.Tumechoka kusikia vilio vya wanafuzi, walimu, madaktari, wafanyabiashara, wafanyakazi na wakukulima kwa...
  6. LASSYSON2010

    Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

    Kwa mwendo huu lazima kieleweke, maana tumechoka!
  7. LASSYSON2010

    Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

    Nzuri hiyo, ila mbona nilisoma gazeti la jana, walisema hataweza kufanya mkutano kutokana na ujio wa prince na mkewe?Limefikia wapi swala hilo jamani, au atafanya kwa siku ya leo tu, maana alipanga afanye mkutano kwa siku tano mfululizo
  8. LASSYSON2010

    Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

    Habari hii umeipata wapi?Kama ni kweli, naona ndoto ya chadema inatimia taaaratibu
  9. LASSYSON2010

    Dk slaa kwa hili tusidangnyane (nyani haoni kundule)

    Ni sawa lakini Dr. Slaa anona tuwe na socialism kitu ambacho hakiwezekani
  10. LASSYSON2010

    Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

    Chadema kuweni makini kujibu maswali
  11. LASSYSON2010

    JE, WAFAHAMU MAWAZIRI KIVULI WA CHADEMA?Una maoni gani?

    Hatuangalii zaidi cv, bali tunaangalia zaidi utendaji.Mbona Balali CV yake ilikuwa nzuri (PHD holder) lakini alichofanya ni cha kihistora hadi kwa wajukuu zetu?@Muro
  12. LASSYSON2010

    JE, WAFAHAMU MAWAZIRI KIVULI WA CHADEMA?Una maoni gani?

    Mawaziri na Manaibu Mawaziri Vivuli OFISI/WIZARA WAZIRI KIVULI NAIBU WAZIRI KIVULI Ofisi ya Waziri MkuuWaziri Mkuu na TAMISEMI Freeman Aikaeli Mbowe Kiongozi wa Upinzani Bungeni Silinde David Ernest TAMISEMI Sera, Uratibu na Bunge Raya Ibahim Khamis Vicent Kiboko Nyerere Elimu Uwekezaji na...
  13. LASSYSON2010

    Shukrani BBC kwa mjadala makini juu ya Gongo la Mboto.

    Kiukweli ni kwamba ktk mjadala huo, seikali ilipata tabu sana katika kusema ukweli kuhusu milipuko hiyo ya mabomu.Hongera sana Mr Selasini kwa maswali mazuri ya kutaka kujua ukweli upo wapi.
  14. LASSYSON2010

    Mazishi ya Wapigania Uhuru wa TZ huko Arusha waliouawa kidhalimu 5 January 2011

    Inawezekana wewe c mtanzania mpenda haki na usawa.Hivi ulifuatilia mwanzo mwisho yalifanya mpaka yakatokea?Nawunga mkono chadema maana wako kwa ajili ya maslahi ya umma.
  15. LASSYSON2010

    DOWANS: Slaa ulituongopea!

    Usichukue moja kwa moja hakika ni majina yao na hakuna mengine, tunawajua waliweza kuchakachua kura ndo hilo lishindikane?THINK TWICE
Back
Top Bottom