DOWANS: Slaa ulituongopea!

DOWANS: Slaa ulituongopea!

Mwanakjiji sasa na wewe umeanza kuwa kalunguyeye.

Hivi mtu anawezaje kuwa owner au akamiliki japo hata shea moja ktk kampuni na asijulikane? Unajifanya kama hujui hata sheria za makampuni? wamiliki lazima waorodheshwe kwa msajili wa makampuni endapo kampuni ni ya tz,hata kama ni ya nje lazima wamiliki wajulikane.
Ni vigumu sana mtu kuudanganya ulimwengu mzima kwamba hana shea kwenye kampuni kumbe anayo na isijulikane. Mtoa hoja amemtaka Padri Slaa atoe ushahidi wa umiliki wa jk ndani ya Dowans ili ukweli wake ujulikane,vinginevyo atabakia kuwa muongo.Hata hivyo Padri Slaa kadanganya managapi? Mbona ameprove kuwa ni muongo?
Una uhakika kuwa Dr. Slaa ni mwongo? Kama ni mwongo mbona hawampeleki mahakamani? Issue ya EPA walisema ni mwongo na mpotoshaji hatimaye ukweli ukabainika kuwa pesa zilichotwa BOT. Kama unaamini Dr. Slaa hajasema ukweli kuwa wa kwanza kumtupia mawe. Usiamini kila unalosikia kutoka kwa watawala waroho wa mali za walalahoi.
 
SHERIA YA MAKAMPUNI TANZANIA CAP 212

Webusaiti ya msajili wa makampuni Tanzania www.brela-tz.org/company inasema kuwa 'mwakilishi' wa kampuni ya 'Kigeni Tanzania' lazima pia jina/majina yao yatiwe ktk daftari la msajili, sasa serikali kupitia kwa Mh. Waziri Ngeleja(MP) mbona 'hajawataja wawakilishi' wa DOWANS hapa Tanzania?

Nanukuu kipengele toka www.brela-tz.org :

(c) Foreign companies (companies incorporated out of Tanzania) kw mfano DOWANS HOLDINGS SA(COSTA RICA)/DOWANS TANZANIA LIMITED.


# These are companies incorporated outside Tanzania. Their offices in Tanzania are treated as branches of foreign company. Even if all subscriber and or shareholders are nationals of the United Republic of Tanzania, the companies are regarded as foreign. They are registered under part XII of Cap.212.


# The Registration procedure of this type of companies include the submission of :-
  1. Certified copies of Memorandum and Articles of Association.
  2. Notice of the location of the registered office in the country of domicile.
  3. List of Directors of the company.
  4. Persons resident in the country who are the representatives of the company. ?????????*******?????
# Fees payable is US$ 1,100 towards registration fees and US$ 300 for filing.
# Certificate of companies is issued to applicants.
 
Hivi kwa akili zenu za kawaida mlifikiri Ngeleja angesimama na kumtaja fisadi mwenzake?

Nijuavyo mimi kuna kesi za uzushi, sasa si mwende Mahakamani mumshitaki kama alivyowashauri ili mahakama uamue kuwa ni uwongo au ukweli?

Kwangu mimi haitoshi kusimama na kukanusha, mara ngapi mafisadi wamesimama na kuukanusha ukweli?
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
Akili topetope...!! Umejiangalia kwenye kioo,..hasa maeneo ya kichwani?...kama bado,nenda sasa hivi,utagundua una kasoro fulani...
 
Weka basi hayo majina au na wewe unatuongopea????
Mzozaji yaani sina maoni kuhusu Dowans, mimi uchungu wangu nimeupeleka kwenye NO katika useful post. Duuuuuh lakini yote tisa kumi Avator yako bwana kali kinomaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!


Kabla ya yote hakuna mtu ambaye c wa Mungu we leta hoja za msingi, ninaamini una uwezo wa kufikiri vizuri kwa akili yako JK angethubutu kujitokeza hadharani eti ni
mmiliki wa Dowans, bado nina mashaka na uwezo wako wa kupambanua hoja, Dr Slaa tunamwamini tunamkubali na tunampenda. Jaribu kujishughulisha kidogo japo nafikiri wewe ni mvivu kutokana na ambavyo unachambua hoja, fatilia yote ambayo Dr Slaa ameyaibua kuhusu watawala wa nchi hii walivyo chakachua hii nchi then niambia kuna ambalo c la kweli? tuwe waungwana tusiwe tu washabiki.
 
Watu mbona mnasahau haraka? Aliyeibua suala la EPA siyo Padri Slaa.Hizi habari zilikuwa kwenye mtanadao,yeye alichofanya ni kuzichukua na kuzipigia zumari lakini si yeye aliyeibua.Kwa hiyo kama unataka kumtetea kuwa sio muongo bado hujafanikiwa kwa sababu suala la epa yeye alilidakia tu.
1.Uongo wa dhahiri ni Contena la kura
2.Kusingizia jk alifanaya mkutano mwanza
3.visingizio vya uchakachuaji wa kura.Ninaamini angekuwa na ushahidi japo sheria hairuhusu kupinga uchaguzi wa Rais mahakamani basi angetoa hata kwa waandishi wa habari kuonesha uchakakchuaji ulivyofanyika.Si anao ushahidi?
Ssa mtu kama huyo unaweza kumuamini vipi? Muungwana haumwi na nyoka kwenye shimo moja mara mbili.Ametudanganya vya kutosha sasa tunasema basi
 
Ithink ametumwa huyu...........kilicho kufanya uamini yale ni majina yakweli nini?

ACHA UJINGA WW.........NAKAMA MAJINA YALE NI KWELI NINI KILIJUWA KINALETA KIGUGUMIZI MPAKA YASITAJWA MWANZONI KABISA.........

AU UMECHAKACHULIWA NA CCM......

YAANI ULITEGEMEA JANA NGELEJA JANA ANGESEMA HIVI.........

HAYA NI MAJINA YA WAMILIKI WA DOWANS.....
JAKAYA MRISHO KIKWETE
ROSTAM AZIZ
YUSUFU MAKAMBA.........
MAMBO MENGINE TUMIA AKILI YAKO YAKAWAIDA TU WALI SIO YA SHULE
PUMBAFU SAKO............
 
Jamani what else do you want to be told to believe that the Head of State, is involved one way or the other? Kama kweli angekuwa hahusiki, angehakikisha Rostam hayuko kwenye CC ya CCM for obvious reasons (ana madoa mengi mno). Hebu soma ukurasa wa 121 kwenye attached document, Rostam is a crook
 
ivuga,
Niko safarini hivyo natoa kwa kifupi tu. anayetaka kuamini ngonjera za Ngeleja aendelee tu kumwamini. Deep green majina yaliyoko kwenye karatasi ni ya nani? Tangold majina yaliyoko ni ya nani? vipi na Meremeta. ongezea la Kiwira Bungeni jina lililotajwa ni la nani lakini jina la Mkapa haliko kwenye founders wa Tanpower Resources japo aliuza hisa zake baadaye? Nipongezee, na Viwanja vya Kawe, mwekezaji anayetajwa siye Adamjee, si ndiye aliyeweka hata deposit. UKWELI HATIMAYE NI NINI? Mwenye nia njema na utashi wa kukomboa Taifa lake ataelewa. Asiyetaka kuamini halazimishwi, mapambano yako pale pale za Ngeleja ni ngonjera tu.

Bwana Padri acha uhuni umeshakuwa mtu mzima sasa,unajidhalilisha.

Kama una ushahidi kuwa jk ni mmiliki wape vijana wako wapeleke bungeni ukweli ukibainika basi bunge lim impeach.Hatuwezi kuvumilia kuwa na Rais mfanyabiashara.Kwanini unatusumbua vichwa kwa uzushi? tumia vyombo vya kisheria umshugulikie Rais badala ya kuleta mchezo wa kuigiza.Hat hivyo umepoteza hadhi maana umeprove kuw ni muongo mno
 
Mwanakjiji sasa na wewe umeanza kuwa kalunguyeye.

Hivi mtu anawezaje kuwa owner au akamiliki japo hata shea moja ktk kampuni na asijulikane? Unajifanya kama hujui hata sheria za makampuni? wamiliki lazima waorodheshwe kwa msajili wa makampuni endapo kampuni ni ya tz,hata kama ni ya nje lazima wamiliki wajulikane.
Ni vigumu sana mtu kuudanganya ulimwengu mzima kwamba hana shea kwenye kampuni kumbe anayo na isijulikane. Mtoa hoja amemtaka Padri Slaa atoe ushahidi wa umiliki wa jk ndani ya Dowans ili ukweli wake ujulikane,vinginevyo atabakia kuwa muongo.Hata hivyo Padri Slaa kadanganya managapi? Mbona ameprove kuwa ni muongo?

Kalamazoo kumbuka unaongea na watu wazima wanaoelewa mambo. Unachokisema ni nadharia tu, UKWELI hata wewe mwenyewe unaujua na unakusuta.
 
Twendeni mwituni majibu yote tutayapata huko,Kinyume chake shamba la bibi limeteketea aslan
 
Mod!turuhusuni japo tuwatukane kidogo hawa wehu wanaotetea ufisadi.
 
Tatizo lako wewe ni mpumbavu.........ungekuwa mjinga tungekuelimisha lakini una bahati mbaya! kama kikwete hana maslahi na Richmond/Dowans basi aende mahakamani! Dr. Slaa Juzi kwenye mkutano wa hadhara Arusha alisema hukumu ya Tanesco iliyotolewa na mahakama ya usuluhishi ni madai ya 95B. lakini Serikali akiwemo waziri, mwanasheria mkuu walisema ni 185B, Jana Waziri amesema madai ya Dowans ni 95B. baada ya Kusikia Dr. Slaa ameanza kuweka mambo hadharani........swali langu........hii serikali inaiba hata mchana? kweli tumefikishwa mahali pa hatari!!!!!!!!!!! Hizi 90B. walizoongeza ni za nani? Ndo kusema Kikwete hajui hili ongezeko? Ngeleja na Werema mnatakiwa mjiuzulu kwa kupotosha umma makusudi ili muibe. Mungu baraka za rasilimali ulizoweka Tanzania ni kwa ajili ya Watanzania wote sasa zimegeuka kuwa za Mafisadi - wana ccm, Mungu tunaomba uikomboe Tanzania. Amina.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

Huna tofauti na huyu,View attachment 19888 stop cheating lives of TZs, hata ww unaweza mfungulia kaka/dada/rafiki kampuni kwa jina lake but u r the owner,
so stop that arrogance na kuwaibia Wa Tzs, rais asiye jali maisha ya watu wake still anawafanyia biashara u support him, too dull
 
Usichukue moja kwa moja hakika ni majina yao na hakuna mengine, tunawajua waliweza kuchakachua kura ndo hilo lishindikane?THINK TWICE
 
Dr Slaa ndiyo Raisi wa Tanzania kwa sasa. Serikali ya kifisadi iliyosimikwa na nec imegubikwa na hofu kubwa. Hawajui raisi wa watu atawalipua kwa bomu gani on the next day. Nia ni kuwafumbua macho waTZ walioko usingizini wakati nchi ndiyo inaishia hivyo..baada ya uporaji wa kutisha unaofanywa na hawa mafisadi .. jina rasmi walilopewa na Raisi wa ukweli..
 
Back
Top Bottom