Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

dr slaa,1.ni mchapa kazi,2.mzalendo halis 3.ni mbunifu wa kutatua matatizo kama kiongoz 4.anakubalika
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Kura ngapi zimeshaharibika mpaka sasa hivi?
 
Habarini wanajamvi. Tukiweka pembeni chuki, majungu, ubaguzi na maslahi ya udini, ukaskazini na uchaga, matatizo ambayo yanaigharimu CDM, Zitto Kabwe ndiye pekee ataweza kuiondoa CCM ikulu. Najua kuna baadhi ya wavuta bhangi humu watakuja na mapovu midomoni na kunipa kila aina ya kashfa, kejeli ama matusi na kudai nimetumwa. Sijatumwa isipokuwa nikipima busara ya Zitto kwa kulinganisha na Mbowe na Slaa nabaini Zitto ana busara. Wakati Zitto ni mvumilivu dhidi ya changamoto za kisiasa, Slaa na Mbowe si wavumilivu wamejawa na jazba na visasi-sifa za viongozi madikteta. Zitto ana uwezo wa kujenga hoja na kuiwasilisha kwa umakini na ushawishi wakati Mbowe na Slaa wana hoja za uzushi zinazowasilishwa kwa maguvu na jazba, wako tayari kutengeneza uzandiki alimradi kutimiza matakwa yao. Zitto anao uwezo binafsi-hakubali kuburuzwa na hoja zenye maslahi binafsi, ni muungwana anayeweza kukiri mafanikio ya chama cha mapinduzi na kukosoa kwa dhati kwa nia ya kujenga. Slaa na Mbowe wameamua kupinga kila kitu hata isivyostahili. Zitto anaikwepa mikakati halamu ya chama chake ambayo haiangalii athari za kubomoka kwa utaifa wetu endapo itatekelezwa. Muda mwingi unaotumiwa na Mbowe na Slaa kupanga mikakati ya kumdhoofisha ZITTO kisiasa ni wazi wanamhofia na its true Zitto anakubalika kwa dhati wakati Slaa na Mbowe wanakubalika kiushabiki tu. Ninaishauri CDM kumsimamisha Zitto kugombea urais na ushindi utakuwa wazi kwani Zitto ni kete ya ushindi CDM. Karibuni kwa michango yenye busara, Note:matusi ni sifa ya mpumbavu.
 
Hujui ulisemalo,maana hujengi hoja na wala uyasemayo kuhusu slaa na mbowe hayaingii akilini. Zito amekuwa hashiriki kikamilifu katika shughuli za chama kama timu,yeye ni mbinafsi. Wakati Mbowe na Slaa wanafanya kazi kwa manufaa ya chama na kila tamko linakuwa la pamoja kama chama lakini siyo Nyepesi'' Zito''
 
Umetoa mapovu kweli huyu zito kawa zito kweli mkipenda mchukueni ccm.aliikuta cdm na ataondoka cdm itadumu
 
ndugu yangu mtunza amani, hoja nijenge mara ngapi? Ukweli wa niyasemayo uko wazi. Zitto ni kiongozi although sikulazishi kuamua kwako kukinzana na ukweli huu.
 
Habarini wanajamvi. Tukiweka pembeni chuki, majungu, ubaguzi na maslahi ya udini, ukaskazini na uchaga, matatizo ambayo yanaigharimu CDM, Zitto Kabwe ndiye pekee ataweza kuiondoa CCM ikulu. Najua kuna baadhi ya wavuta bhangi humu watakuja na mapovu midomoni na kunipa kila aina ya kashfa, kejeli ama matusi na kudai nimetumwa. Sijatumwa isipokuwa nikipima busara ya Zitto kwa kulinganisha na Mbowe na Slaa nabaini Zitto ana busara. Wakati Zitto ni mvumilivu dhidi ya changamoto za kisiasa, Slaa na Mbowe si wavumilivu wamejawa na jazba na visasi-sifa za viongozi madikteta. Zitto ana uwezo wa kujenga hoja na kuiwasilisha kwa umakini na ushawishi wakati Mbowe na Slaa wana hoja za uzushi zinazowasilishwa kwa maguvu na jazba, wako tayari kutengeneza uzandiki alimradi kutimiza matakwa yao. Zitto anao uwezo binafsi-hakubali kuburuzwa na hoja zenye maslahi binafsi, ni muungwana anayeweza kukiri mafanikio ya chama cha mapinduzi na kukosoa kwa dhati kwa nia ya kujenga. Slaa na Mbowe wameamua kupinga kila kitu hata isivyostahili. Zitto anaikwepa mikakati halamu ya chama chake ambayo haiangalii athari za kubomoka kwa utaifa wetu endapo itatekelezwa. Muda mwingi unaotumiwa na Mbowe na Slaa kupanga mikakati ya kumdhoofisha ZITTO kisiasa ni wazi wanamhofia na its true Zitto anakubalika kwa dhati wakati Slaa na Mbowe wanakubalika kiushabiki tu. Ninaishauri CDM kumsimamisha Zitto kugombea urais na ushindi utakuwa wazi kwani Zitto ni kete ya ushindi CDM. Karibuni kwa michango yenye busara, Note:matusi ni sifa ya mpumbavu.

Kaka yaelekea unaumia sana CDM wanavyozidi kunawili kuelekea uchaguzi mkuu 2015, ila nataka uangalie kwa makini sehemu nilizoziwekea rangi.

Uliangalia hiyo red color utaona jinsi ulivyopanga kuikashifu CDM huku ukisema matusi kutolewa na wavuta bangi so nachelea kuamini hujui usemalo au umepuliza kwanza ndo ukapost.

Ukija kwenye blue, umetumia vigezo gani kugundua kuwa kuendelea kutawala kwa CCM Tanzania kunasababishwa na Zitto kutogombea urais?

Naomba nichukue nafasi hii kukupa pole kwani dunia ya leo watu mnaojenga hoja bila kuwa na vigezo mnazidi kupungua kila uchao ila nakupa changamoto uwe neutral ili uone kila kitu kwa mapana yake coz ushabiki maranyingi hupumbaza fahamu za wanadamu ndo mana wakasema "MWENYE MAPENZI HAONI INGAWA MACHO ANAYO"
 
Wewe na huyo aliyekutuma uje kutuita wavuta Bangi ni wapumbavu wakubwa, mwambie nyerere alisema hivi "Ukipewa kazi ya nchi lazima ujiheshim,.... Huwezi kupewa kazi ya nchi halafu unaishi kihunihuni tu,.... Kazi za uhuni barabarani ziko tele zimejaa,.. Nenda kafanye uhuni wako huko mabarabarani..."
 
Mimi natamani sana agombee Slaa, sababu hana jipya ana siasa za kiwandani.

Akigombea Zitto ni noma kwa CCM kwani hata kura yangu ntampa yeye na ntampigia debe la nguvu tu. No matter ni nani anagombea nae.
 
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia zitto. Wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni padri.

mlianza kuwabagua wakristo, mkidhani nyinyi ni wamoja. Kwa kuwa mna hamu na damu, sasa mnataka kichwa cha muft simba.......uvivu utawaua! Malizanani huko kwanza ndo mje kwa wakristo
 
1.namchagua slaa coz nimweledi
2.anafahamu matatizo ya watanzania
3.hana majungu wala makundi kama zitto
4.hanatamaa wala wivu wakijinga na uchu wa madalaka
 
Tumechoka na kashfa za vibaraka wa zitto poll yenyewe inaonyesha nani mkale sasa wengine humu povu linawatoka bila sababu ya msingi.
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

wewe msomali mambo ya tanzania yakuhusu nini
 
HII NI DHARAAU KWA DR SLAA,HUWEZI MLINGANISHA RAISI SLAA NA zitto
 
Namtetea Dr kwa uwezo wake mkubwa wa kujibu maswali, utendaji wake na utetezi wake dhidi ya watu wa chini/ maslahi ya umma, ni kiongozi mzuri
 
DR.SLAAAAAAAAAAAA

1. Mtetezi wa wanyonge
2. Hana kashfa
3. Anajua nini watanzania wanataka
4. Anajua kujitetea kwa lolote

Extra
5. Hasafiri hovyo hovyo
 
mnahangaika kweli watanzania, jakaya alipendwa kwelikweli sasa hatujui kama hawas mnaowapendekezsa watakuwa wazuri. ila mungu ndiye ajuaye, ombeni mtapewas msibaki kuongea tu. good luck 2015
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom