nyandaojiloleli
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 205
- 18
hii ni hatari.
Ni uzembe wa Mambo ya ndani ambayo imeshindwa kabisa kuwadhibiti polisi ili wahakikishe sheria za barabarani zinafuatwa kila siku. Barabara zetu kusema kweli zinatisha sana. Ukitoka asubuhi na kurudi nyumbani jioni unashukuru Mungu, ukiwa safarini roho mkononi ukifika salama unabaki na wasiwasi kama safari ya kurudi itaisha salama. Nchi yetu imeoza hili siyo siri kila mahali pamejaa madudu tu.
Poleni sana wafiwa Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi~AMEN
kaka hebu peruzi kaswari kangu afu unijibu, nasubiri tafadhali.Ninasikitika kuawaarifu kua kuna ajali mbaya imetokea Ubongo Riverside ambapo gari aina ya lori limeacha njia na kugonga watu.
Kwa uchache inasemekana maiti 20 zimeokotwa eneo la ajali.
Habari zaidi zitawajia hivi punde