Mzee wa Upako alimtabiria Raila ODINGA angeshinda uchaguzi

Mzee wa Upako alimtabiria Raila ODINGA angeshinda uchaguzi

Hii na sawa na mtu amekufa labda kwa uzembe wa dereva au dr, afu tunatabiri eti Mungu alimpenda zaidi. Huo nao ni utabiri ka wa mzee upako.
 
Yule mhuni chizi kabisa, utabiri wake ukienda kambo anapiga kimyaaa.....!!! Wote wanafanya biashara.... wasaka pesa...
 
Ni vema wachungaji mkaacha ushabiki wa siasa maana sisi waumini tunashindwa kuwaelewa, kwani mmeshamaliza kufundisha biblia?
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

hawa watu siwaamini hata kidogo! kakobe aliwahi kuhubiri nchi nzima eti mrema lyatonga ni chaguo la mungu 2000 na kama mrema asingechaguliwa hata mungu anayemhubiri ni wa uwongo! lakini mrema aliangukia pua.
 
Aise jamaa a natafuta umaarufu kwa nguvu hivi? Kwa nini hakaribishi wachungaji wenzake wapande Madhabauni kwake wahubiri?au ndo kusema yeye anamjua sana Mungu? Au akaenda mikva mwingine ya tanzania au waliookoka wapo Dar tu? Ona sasa alivyoumbuka inabidi juu ya Kenya
Mimi na with Mzee aw MITINDO acha kusubiri siasa hubiri neon la MUNGU.
 
Hizi ndizo siku za mwisho,kutakuwa na watabiri wa uongo,ndo hao sasa.Kama si kweli akanushe,tulishamzoea
 
Na sasa tutamwaminije kama Mungu wake sio sawa na yule Mungu wa Majirani zetu(Wa..i.....s....lamu) ambaye hutetewa kwa kuuwa Watu wasio na Hatia huku yeye (Mungu"MFU"akishindwa Kujitetea)!!
Yeye Asubirie tu siku ya Hukumu akatowe Hesabu zake!
!
Mkuu waache wafu wazikane wao kwa wao!!!!!
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

kama ingewezekana kesho waumini waulize maswali ya papo kwa papo na hili likiwemo mbona aijawa trasfooooooooooooooooooooomaaaaaaaaaaaaaama!!!!!!uuuuuuuuuuuuu!!!!!!
 
Hapo kweli amechemka khaa wamulize kulikoni mungu wake amemwambia huo urais anaenda kupata mahakamani hapo amefulia lusekelo
 
Hata Mh Kikwete alitabiriwa kuwa ni chaguo la 'Mungu na Shehe Yahya. Lakini si tumeyaona wenyewe.
 
Ana haki ya kutoa maoni lakini sio kutabiri ni kipaji kutoka juu.
 
Hayo yalikuwa mawazo yake na c ya Mungu, viongozi wa dini tuwe makini na kauli zetu, kama ni Mungu kasema na ukiwa na uhakika sema, la sivyo just stay silent au hubiri mambo mengine!
 
Hakuna tapeli kama huyu jamaa eti mzee wa upako ni janga lingine katika jamii ya watanzania
 
.
Tofautisha kwanza kile ulichoita tofauti kati ya unabii na utabiri. Mbona hujafanya hivyo katika hii post yako? Hebu rudia kuisoma kwa makini.
.

Ww ndo hujaelewa,bt kamanda kazi he s ryt!unabii na utabiri ni vitu viwili tofauti
 
Mchungaji Anton Lusekelo au kwa jina maarufu la Mzee wa upako tarehe 31 januari 2013 ,ndani ya kanisa lake alisema Raila Odinga ndiye angeshinda uchaguzi wa Kenya na Uhuru Kenyatta asingeshinda labda asubiri miaka ijayo na si kwenye uchaguzi huu.

Aliongea maneno haya kwa msisitizo na kurudiarudia sana na kwa mujibu wake utabiri huo alikuwa ameoteshwa na mungu wake.

Aaaagh! Kumbe ni utabiri? Basi yuko sahihi maana kubahatisha kwa kusoma alama za nyakati. Ila angesema ni unabii lazima ingekuwa hivyo. Kwa Mungu hakuna utabiri bali unabii. Mzee wa upako ni msanii wewe huwa huoni akiwa jukwaani hana tofauti na akina Juma Nature maana huwa watu wanaenda kumtuza jukwaani kama vile mcheza show! Na amekaa kimipasho zaidi, lakini kubwa ambalo nataka mniambie hive leo ni lini mmemuona akisoma Bible katika vipindi vyote iwe kanisani kwake au katika media?. Au ndio kameza mistari?
 
Siku hizi naona kama yuko katika payroll ya chama kingine!

Msikimbie mtabiri wenu sisi tunamwaga sera kwa vitendo nyie endeleeni kutafuta waganga!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom