Mkuu salama,nipo Dodoma namiwka kama 3 nafanya biashara ya zabibu...ZABIBU inapatikana sana Dodoma tena kwa misimu miwili!!!
Kama anahitaji mzigo wa ZABIBU,tuzungumze!
Nadhani kuna pesa inahitajika idara Fulani haraka aidha kati ya afya na elimu haswa ndio maana wamewashitukiza na jamaa kakazia lipa afanyie kazi komaeni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.