Recent content by Kwisense

  1. Kwisense

    JamiiForums Tanzania House girl anahitajika

    Ndio
  2. Kwisense

    JamiiForums Tanzania House girl anahitajika

    Tunafuata sheria za nchi ndugu, kama unae chini ya hapo naomba tuwasiliane.
  3. Kwisense

    JamiiForums Tanzania House girl anahitajika

    House girl anahitajika, mwajiri na eneo la kazi ni Dar es Salaam. Sifa za aina msichana anaehitajika; ~Awe na tabia nzuri na atokee kwenye familia inayoeleweka ~Awe na umri kuanzia miaka 19 hadi 26 ~Akubali kufanya kazi na watu wenye imani tofauti na yeye ~Mshahara ni makubaliano Kama una...
  4. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Mkuu anajitenga na Serikali?

    Rais alikosea sana pale aliposhindwa kuvunja baraza la mawaziri. Serikali hii watu ambao hawana uwezo hata robo kuendelea kuongoza ni waziri mkuu na waziri wa fedha, hawa watu ni waongo na waliojawa na tamaa, dharau na wasiojali wananchi. Wanatamka vitu ambavyo havitekelezeki, wachumia tumbo...
  5. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Kusafirisha Makaa ya Mawe nje ya nchi

    Unapeleka nchi gani mkuu
  6. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa Mbowe baada ya kesi iliyokuwa inamkabili kufutwa

    Wandishi Chawa,
  7. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Kijana mkoani Kilimanjaro auawa kwa panga kwa madai ya kutaka kushiriki tendo la ndoa na mke wa mtu

    Alimfumania au mwanaume alijifanya mwanamke ili kuchati na jamaa na jamaa kazama mzima mzima
  8. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu app for call recorder

    Unaweza kujaribu True call, activate automatic recorder
  9. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Dereva gari limemzidi uwezo, Leseni ichunguzwe

    Dereva alipewa ushauri akapuuza, baada ya kupata leseni ya kuendesha lile basi ilitakiwa afanye yafuatayo; ~major engine overhaul, ilitakiwa abadilishe kila kitu kuanzia PM, IGP, Ministers na wengine ili apate timu nzuri ya kuendana nayo ~ilitakiwa basi lipigwe rangi nyingine ili kuendena na...
  10. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Tusaidiane namna kukomesha wizi wa nyaya za umeme baada ya kufanya wiring

    Hello Nyakitagara, ushauri wangu kwako, ongea ni fundi wako achore mchoro apeleke tanesco baada ya hapo atafute survey kutoka tanesco kwa ajili ya ukaguzi. Baada ya hapo fuatilia control number ili ufanye malipo utafungiwa umeme ndani ya mwezi mmoja. Ni muhimu afunge bracket, na awe na cut out...
  11. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Polepole aachwe aongee asinyamazishwe, asizuiwe

    Lazima aonje jiwe la moto, kipindi chake aliumiza watu wengi sana. Ngoja aone umuhimu wa uhuru wa kujieleza maana alivyotufanyia kwa kweli sina hamu nae hata robo. Angelazwa hata jela ama atekwe na wasiojulikana ili aone Watanzania tulipitia kipindi gani enzi ya uongozi wake.
  12. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Msichana wa kazi anahitajika

    Ni Machame. Mshahara ni 60,000/=
  13. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Msichana wa kazi anahitajika

    Kuna Mama anahitaji Binti wa kazi ila yupo Moshi, muulize kama anaweza kwenda huko nikuunganishe
  14. Kwisense

    JamiiForums Tanzania Msichana wa kazi anahitajika

    Naomba tuwasiliane mkuu
  15. Kwisense

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kisa cha nyumba ya nyasi kijijini chasababisha ndoa kuvunjika

    Hii hali ni kuvumiliana, mwanamke ana nafasi kubwa sana kubadilisha tabia ya mwanaume. Kama huyo Dada angajipanga vizuri hayo makazi yangebadilika ndani ya mwaka, huyo Dada alikuwa na nafasi nzuri ya kumshauri huyo Jamaa namna ya kuboresha makazi ya wazazi wake. Maisha ni kuvumiliana...
Back
Top Bottom